Recent content by tzhumoally

  1. T

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nimekwama kujilipia ada

    Habari wakuu,niliwahi kuja hapa katika uzi huu kuomba msaada,nilisaidiwa kimawazo hata kwa kifedha pia,nawashukuru wote mlioguswa na tatizo langu(ilikua 2016) ila kwa mrejesho chuo nilimaliza na kazi nimepata namshukuru M,Mungu!!na naendelea vizuri tu!Mungu awazidishie mlichonacho na awaongezee...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

    Direct Entry (Form VI) Qualifications A principal pass in Mathematics and a principal pass in either Physics or Chemistry or Geography or Computer Science. If one of the principal passes is not Physics, at least a subsidiary pass in Physics at A level is required. HIVI NI VIGEZO VYA...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

    mkuu HGE na EGM usome geomatics?pitia vizuri vigezo vinavotakiwa..maana ardhi mimi sijawahi kumuona mtu anaesoma geomatics kwa hge na egm maana hata PCB hakidhi vigezo wanavotaka..labda building economics
  4. T

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

    first inatake ipi?maana geomatics imeanza tokea miaka ya 70 ikiitwa land surveying..miaka ya 2007 waliwahi kuchukua egm nasikia ila baadae wakaacha..kuanzia 2009 hadi leo hakuna egm anaesoma geomatics..labda geonformatics ya udom ndio nackia wanachukua hadi cbg
  5. T

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

    mkuu unaijua vizuri aru au umeambiwa..maana mimi nimesoma pale na nimeshasaidia vijana wengi kuchagua kozi a kusoma pale..mimi nakwambia geomatics/geoinformatics si ardhi si UDSM hupati bila kuwa pcm au egm..kama huamini ingia www.aru.ac.tz utaona vigezo vyao..mimi nimeingia 2012 mpaka leo...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Muongozo wa kozi ya kuchagua kwa undergraduate mwaka wa masomo (2017/2018)

    wamsoma mwaka gani?maana maana sahivi ni PCM na EGM tu,ingia web ya ARU au UDSM utaamini nilichokuambia na mimi class yng yote ilikua PCM na PGM
  7. T

    JamiiForums Tanzania Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    una ufaulu gani?kama una math olevel..soma building economics ardhi university,kuna vetenary medicine sua,medical labolatory popote wanapotoa,na bsc in geoinformatcs udom maana ya ardhi huwez kupata..hizo zote zina ajira bila kupepesa macho
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kati ya hizi kozi, ni ipi nzuri zaidi?

    mkuu katika hizo zote ulizotaja land management and valuation ndio best na naongea kwa experience,mimi ni surveyor ila hio course usije ukafananisha na sheria au mass communication...
  9. T

    JamiiForums Tanzania iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

    Hivi iphone unaweza kuweka whatsapp GB?
  10. T

    JamiiForums Tanzania Gb WhatsApp New Version

    Hivi hii gb whatsapp unaweza kuweka katika iphone
  11. T

    JamiiForums Tanzania Mpima ardhi anapatikana

    Hamna shida mkuu
  12. T

    JamiiForums Tanzania Mpima ardhi anapatikana

    Nipo sinza mkuu,hamna shida muda wowote wewe nijulishe tu
  13. T

    JamiiForums Tanzania Mpima ardhi anapatikana

    Okay inshallah hamna shida mkuu
  14. T

    JamiiForums Tanzania Mpima ardhi anapatikana

    Mpaka hati boss 1.5M nafanya ila maelewano yapo kidogo
  15. T

    JamiiForums Tanzania Mpima ardhi anapatikana

    Hapo mnashare cost kwa vile mpo wengi..maana bei ya kupima kiwanja kimoja kama ni 1.5M hata kama vipo 20 kwa eneo moja basi haizidi 2.5M..kama vipo block moja ndio rahisi zaidi
Back
Top Bottom