Recent content by Tz_one

  1. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Umeelewa maana ya hii before proceeding
  2. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Solution ya Dar Eventually ni Elevated Railway kwa Mjini na nje ya mji ni railway pia for mass transit Kwa Kamata lazima nyundo ihusike lakini tunnel ya njia sita mbona inawezekana kutoka bandarini kuingia Kkoo sema itabidi kuua Metre gauge upande ule wa Kkoo Station ya Metre gauge ijengwe...
  3. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Na tunaweza sana , am sure ni more of inside loans kuna habari nilisoma Crdb loaned 1trillion tsh. ila sio donor funded
  4. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    ilikuwa ni intially sikuhizi umesikia any news umeme umetrip? Better Locomotives Better energy usage Cheap to run Enviromental friendly More efficent Fast can do more trips per day
  5. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Katika project muhimu inayoendelea Tanzania ni hii hapa ya kuongeza campus ya vyuo vikuu kwenye mikoa karibia 20plus Tanzania , hii inaenda kuongeza capacity ya vyuo vikuu Tanzania . Human Capital ni kitu muhimu sana kwenye maendeleo ya nchi hapa sasa tutaona Human developement ikiongezeka ...
  6. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Lamu has a 3 berths with Quay Length of 1200m Mtwara has 2 berths with Quay length of 685meters Tanga is smaller than Mtwara with 2 berth Quay of 450m Mtwara in Ship to Shore Crane moja Tanga is still undergoing major expansion kupokea meli za mafuta Mtwara will get a another new berth...
  7. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    2.7million good numbers 2025 we will be around 3million plus Now kuna flightlink na inazidi kukua precision kaongeza ndege so the domestic numbers will be up Air Tanzania still growing it has added Kinshassa and likely Lagos and Kigali this year so international numbers will keep going up ...
  8. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Good idea but that would need alot of Cash investement ambazo inawezekana hakuna kwa sasa. Una propose road kutoka selender kupita btwn river msimbazi via Jangwani to kigogo this project ita cost around 1bil usd Na kuna priorities nying bado mfano Mwanza To CBD needs 2x2 road Arusha to KIA...
  9. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Dar should try to get copy what was done in Zanzibar , i get it that the beaches are not top notch like Znz but they should also invest hasa kwenye Island ndogo ndogo zilizopo Dar Bagamoyo na Pwani
  10. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Why ? Is it because of religion issues ? Money invested Or some people taking advantage of religion to make money ? Or none of them
  11. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Probably itakuwa hivi i think kitu kama hichi kinaweza kufanya kazin i think Maputo is political reasons Ni kama Lagos ambavyo natamani waijoin na accra lakini inaweza isiwe suitable for better conncetion times Dar-Pemba-Maputo- Dar would probably work kama LAM walivyofanya Wanaweza...
  12. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Duh ndo hivyo , Nadhani mpka 2026 waharakishe haraka maana European cities zinaleta toursit wengi London Rome/Milan should be on plans tukipata kibali Kwa sasa tupate african routes kwanza Lagos this August itaanza Tukipata uwezo as in if TCH will be back , Accra via Abidjan would be a good...
  13. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huo umeme ni mainily for Arusha maybe na Kilimanjaro cause hakuna Power line ya 400kv kutoka Chalinze to Arusha thats my understanding . Kujenga power lines ni very expensive so it might take time hata kama mna production ya kutosha
  14. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Walikuwa wanacheka DL yetu ilivyokuwa inasubiri engine pale malaysia last year ilikaa karibia 8months wakawa wanatucheka sana wanaita ya mtumba huku wakiwa hawajui yanayoenda kuwapata sasa hizi DL zote za air tanzania zinafanya kazi wao wanahangaika
  15. Tz_one

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Burundi then DRC. Plus Kigali still can take Tz route The only one mnaye ni UG so far Na tena Tz ikipata mtu mwenye kuona nafasi anaweza pitisha reli hata Kagera akitaka Plus hio 4.5bil usd mnachukua from China au
Back
Top Bottom