Solution ya Dar Eventually ni Elevated Railway kwa Mjini na nje ya mji ni railway pia for mass transit
Kwa Kamata lazima nyundo ihusike lakini tunnel ya njia sita mbona inawezekana kutoka bandarini kuingia Kkoo sema itabidi kuua Metre gauge upande ule wa Kkoo Station ya Metre gauge ijengwe...
ilikuwa ni intially sikuhizi umesikia any news umeme umetrip?
Better Locomotives
Better energy usage
Cheap to run
Enviromental friendly
More efficent
Fast can do more trips per day
Katika project muhimu inayoendelea Tanzania ni hii hapa ya kuongeza campus ya vyuo vikuu kwenye mikoa karibia 20plus Tanzania , hii inaenda kuongeza capacity ya vyuo vikuu Tanzania .
Human Capital ni kitu muhimu sana kwenye maendeleo ya nchi hapa sasa tutaona Human developement ikiongezeka ...
Lamu has a 3 berths with Quay Length of 1200m
Mtwara has 2 berths with Quay length of 685meters
Tanga is smaller than Mtwara with 2 berth Quay of 450m
Mtwara in Ship to Shore Crane moja
Tanga is still undergoing major expansion kupokea meli za mafuta
Mtwara will get a another new berth...
2.7million good numbers 2025 we will be around 3million plus
Now kuna flightlink na inazidi kukua precision kaongeza ndege so the domestic numbers will be up
Air Tanzania still growing it has added Kinshassa and likely Lagos and Kigali this year so international numbers will keep going up ...
Good idea but that would need alot of Cash investement ambazo inawezekana hakuna kwa sasa.
Una propose road kutoka selender kupita btwn river msimbazi via Jangwani to kigogo this project ita cost around 1bil usd
Na kuna priorities nying bado mfano Mwanza To CBD needs 2x2 road
Arusha to KIA...
Dar should try to get copy what was done in Zanzibar , i get it that the beaches are not top notch like Znz but they should also invest hasa kwenye Island ndogo ndogo zilizopo Dar Bagamoyo na Pwani
Probably itakuwa hivi i think kitu kama hichi kinaweza kufanya kazin
i think Maputo is political reasons
Ni kama Lagos ambavyo natamani waijoin na accra lakini inaweza isiwe suitable for better conncetion times
Dar-Pemba-Maputo- Dar would probably work kama LAM walivyofanya
Wanaweza...
Duh ndo hivyo , Nadhani mpka 2026 waharakishe haraka maana European cities zinaleta toursit wengi
London
Rome/Milan should be on plans tukipata kibali
Kwa sasa tupate african routes kwanza
Lagos this August itaanza
Tukipata uwezo as in if TCH will be back , Accra via Abidjan would be a good...
Huo umeme ni mainily for Arusha maybe na Kilimanjaro cause hakuna Power line ya 400kv kutoka Chalinze to Arusha thats my understanding . Kujenga power lines ni very expensive so it might take time hata kama mna production ya kutosha
Walikuwa wanacheka DL yetu ilivyokuwa inasubiri engine pale malaysia last year ilikaa karibia 8months wakawa wanatucheka sana wanaita ya mtumba huku wakiwa hawajui yanayoenda kuwapata sasa hizi DL zote za air tanzania zinafanya kazi wao wanahangaika
Burundi then DRC.
Plus Kigali still can take Tz route
The only one mnaye ni UG so far
Na tena Tz ikipata mtu mwenye kuona nafasi anaweza pitisha reli hata Kagera akitaka
Plus hio 4.5bil usd mnachukua from China au
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.