Najjua utabisha ila investment za Viwanja na Barabara unaona kipi kinahitajika zaidi kwa sasa
1. Mfano Mpanda kigoma hamna lami
2. Itigi to Chunya
3. Ifakara to Songea
Unahisi kipi kitatusogeza zaidi kwenye GDP ya 1 trillion .
Ku host Afcon ? Jaribu kucheki impact ya Afcon kiuchumi ...
I hope hatutojenga tena viwanja baada ya huu hata kwa miaka 5 ijayo, such a wastage of money . Hizi hela zolitakiwa kwenda kwenye barabara . Vanity projects , stadium hazina revenue kubwa na impact kiuchumi kwa Tz ni ndogo
Good project tho but hii afcon imefanya Tz ispend almost 400mil usd...
Hizi ndo render za. MKICC
Nimesoma kutakua na phase 2.
Phase 1 bil 338 itajenga
Auditorium ya 5000
Exhibition space ya 10,000
Parking
Mini halls za 50-500
Na presidential hall ya 3000
Phase 2 bado haijapata fedha na mwekezaji
5 star hotel ya 500 rooms
Phase 2 ni muhimu sana kualika mikutano...
Actually kuna ndege 4
1. Gulf stream g700 hii mpya imenunuliwa last year
2 gulf stream g550 hii ilinunulia 2003 na bado ni young kwa ninavyoona
3. q400 hii imenunuliwa mwaka huu mwanzoni ili kupunguza over reliance kwa ndege za Air tanzania hasa regional trips , trips za mikoani na EA
4...
Okay nimepitia Budget ya Uchukuzi the following are things i have given thumbs up.
1. Dar Port inapanuniliwa kuwa kubwa sana 10new berths . 5 zitakuwa kurasini na 5 upande wa kigamboni . Za upande wa kigamboni kuna mpango umeanza ku discuss na nssf kujenga daraja la reli kati ya kurasini na...
Air Tanzania imezuiwa na EU mpaka ikidhi vigezo mbali mbali.
Sasa wakati huo tunasubiri inaanza Moscow cause haina hizo issue zza EU safety.
Hii route ni via Seychells , seychells na Znz kuna tourist wengi kutoka russia
Ningeweza kumshauri president ili Tz tuzidi kukua zaid kiuchumi ningeshaurii haya
1. Kujenga Reli SGR kutoka Bgamoyo port kuja Ruvu ku connect na SGR
2. Kujenga angalau berth 5 za 400m @ Bagamoyo kwa ajili ya kupokea meli kubwa kuliko Dar
3 . Kujenga kiwanda cha Mbolea kutokana na Gas ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.