Recent content by Tz nchi yangu

  1. Tz nchi yangu

    Serikali yatoa ufafanuzi wa akiba ya Fedha za Kigeni, makosa yalifanyika

    Eti Dolla milion elfu sita na miambili hamsini na tatu,, rais kakosea na msemaji nae kakosea. Inafikirisha sana
  2. Tz nchi yangu

    Bavicha na mwendelezo wa kubadilisha gia angani

    Hivi ni lini bavicha wamekuwa taasisi ya dini!?, ni lini wamekuwa zehebu!? au ndo kubadilisha gia angani!!, swala la maombi linaitaji watu waliopakwa mafuta kwa ajili ya kazi hiyo na sio ujanjaujanja unaofanywa na hao bavicha. ndg TL bado anamaumivu makali lakini hawa bavicha wanawaza watoke...
  3. Tz nchi yangu

    Rasmi: Tundu Lissu tumempa heshima ya kutambulika kama 'Kaka wa Taifa'

    duh! yaan hivo ndo mmetafakari!!? hahahahaa bavichaaaa
  4. Tz nchi yangu

    Uhuru wa kuabudu nao umeanza kuondoka...(?)

    eti bavicha wanafanya maombi!! eti wamenyimwa uhuru wa kuabudu!!! mi nacheka saaaaana!! na hizi siasa uchwara. hivi ni lini bavicha imegeuka kuwa zehebu!? hadi kufikia kunyimwa uhuru wa kuabudu!!?. hahahahahaa huu ujanjaujanja haujawahi kuicha salama hii bavicha
  5. Tz nchi yangu

    Ni sahihi Mkuu wa Majeshi(CDF) kufanya Press conference?

    press zilikuepo wakati hujawa na ufahamu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Tz nchi yangu

    Almasi ya Bilioni 32 inayodaiwa kukamatwa Uwanja wa ndege Dar ni Uongo wa karne!

    unataka kusema haiwezekani kupimwa kwa kilo!!!! duh unatatizo so kidogo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Tz nchi yangu

    Lissu na LHRC waungana kupinga kitendo cha kuchomwa ofisi za IMMMA Advocates

    ase! naona ni mafuriko ya waandamanaji Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Tz nchi yangu

    Mhe. Rais Magufuli, dhana ya 'Tanzania ya viwanda' itekelezwe hivi

    hivi watanzania tumeoteshwa kuwa viwanda vitashuka kutoka mbinguni! huku vikiwa na wafanyakazi wake!? duh! inaniuma sana tunapokuwa na mipango ya dhahania. eti mkurugenzi heslb unatoka kifua mbele kutangaza majina 1,500 tu kati ya majina zaidi ya 16,000. hivi hata hiyo mishipa ya aibu...
  9. Tz nchi yangu

    kweli huyu ni rais wa wanyongee!!??

    unatesa watu kwa njaa unasingizia uhakiki! hii zambi kubwa sana wewe so mpenzi wa Mungu. ila wewe ni mpenzi wa she**ni. wanafunzi nao unawaambia uhakiki unataka wale nini au wakafanye kazi waache kusoma!! semista inaisha kwa boom moja tu! duh! kweli tumempata raisi wa wanyonge[emoji24] [emoji24]...
  10. Tz nchi yangu

    Wanafunzi 505 Chuo Kikuu Mwenge wazuiwa mahafali kwa kutolipiwa ada na HESLB

    kwa kweli tunashindwa kuelewa. je serkari hii haina pesa!?, au kuna kipi ambacho hakiwekwi wazi?
  11. Tz nchi yangu

    Wanafunzi 505 Chuo Kikuu Mwenge wazuiwa mahafali kwa kutolipiwa ada na HESLB

    Habari wanajukwaa, Zaidi ya wanafunzi 500 wa Chuo Kikuu cha kikatoliki Mwenge wamezuiliwa kuhitimu (ku-graduate) 29/12/2016 kwasababu tu bodi ya mikopo (HESLB) mpaka saivi haijawalipia ada wanafunzi hao. Hali hii ni tofauti kwa vyuo vingine, wao wameshalipiwa ada na wamesha-graduate. - Je...
  12. Tz nchi yangu

    Solar panel za kisasa zinauzwa

    zote mbili jumla yake ni 165,000?
  13. Tz nchi yangu

    Mwenge Catholic University hatujapata mkopo hadi leo, Waziri Ndalichako tunaomba utuambie kosa letu

    ni masikitiko na machungu tu ndo tunayopata, tusaidien kufikisha taarifa hizi
  14. Tz nchi yangu

    Mwenge Catholic University hatujapata mkopo hadi leo, Waziri Ndalichako tunaomba utuambie kosa letu

    Ni mwezi mmoja na wiki moja sasa tangu tufungue chuo (MWENGE CATHOLIC UNIVERSITY) hatujapata fedha ya kujikimu na hatujafaham sababu kuu ya ucheleweshaji huu. mateso haya tunayoyapata sisi wanafunzi ni aibu hata kuyasema kwasababu itaonekana kama ni uzalilishaji. wanafunzi tumevumilia haswa...
Back
Top Bottom