Recent content by TZ ME

  1. TZ ME

    Tujikumbushe matukio ya vifo na kuugua ghafla kwa viongozi ndani ya CHADEMA ambayo yameacha maswali yasiyo na majibu

    Mleta hoja napinga hoja yako. Kwa siasa za hapa kwetu za kuviziana,. Kwa matukio unayo jaribu kuhalalishia jaribio la kumwua Lissu, siamini hata kidogo km serikali ingeshindwa kuwakamata watuhumiwa hao. Vyombo vya dola ni dhahili vinafanya kazi kwa kui favor serikali. Kwa hili visingeshindwa...
  2. TZ ME

    Mishahara kampuni zote za ulinzi Tanzania ipitiwe upya maana wafanyakazi wanaumia

    Niliwahi kufanya kazi na kampuni ya ulinzi Kenya Kazi Security(K. K) , inasikitisha sana kufanya kazi ya ulinzi unalinda mali za mamilioni lakini unalipwa mshahara laki mbili na nusu, hapo unakaa mji kama Dsm, ulipe kodi ule na unyoe kila baada ya siku 3 au nne, utunze hela ya usafiri na chakula...
  3. TZ ME

    Alinipiga mpaka kuniharibu kizazi kisha akaniacha kwasababu siwezi kuzaa

    Huyu ni mwongo sana anataka kuchukua attentions za watu, ukiangalia profile yake ana miaka 25 na majuzi hapo alileta matokeo yake akitaka tumshauri akasome kozi gani, duh watu kwa uongo mko vizuri.
  4. TZ ME

    Mapokezi ya ndege mpya ya ATCL eneo la Terminal One-JNIA

    Mkuu hizo namba zipo hata mimi nimeziona kwenye specifications za hiyo ndege kwenye ukurasa wa Instagram wa CCM nikashindwa kuelewa, labda wataalamu mtusaidie
  5. TZ ME

    Zitto Kabwe: Kwanini Rais Magufuli hafanyii kazi suala la IPTL?

    Nitaendelea kukupenda Zitto,hizi danganya toto za mafisadi yamekimbilia Chadema ni wapiga zomali tu ndo wataziunga mkono. Sasa kama mheshimiwa yuko SERIOUS na mafisadi aanze na huyo tapeli + makada wa chama chake.
  6. TZ ME

    Tetemeko la Kagera Laibua Tuhuma......UVCCM Waituhumu CHADEMA Kufanya Siasa Potofu, Wataka Uhakiki w

    Kwanini wasitangaze kuwa hilo janga ni lao tu??? Kwanini hawataki kufanya kazi na wapinzani?? Wao wakiongea sawa, wapinzani wakiongea ni tatizo. Nchi yangu hii, huu utengano mbona mnaukaribisha kwa spidi hivyo??
  7. TZ ME

    Shirikisho Vyuo Vya Elimu ya Juu-CCM wawajia juu upinzani kuhusu maafa ya Kagera

    Kuna nyuzi tumeeleza hivi vitu, na nae naendelea kuuliza kuwa hivi nyie wanasiasa wa CCM hii nchi ni yenu tu wapinzani siyo yao?? This is too much!!! Mmezidi kujipendekeza Kwa Rais,. Embu ifike mahali mheshimu haki za kiraia na kidemokria, waacheni na wapinzani washirikiane na watanzania wenzao...
  8. TZ ME

    Sasa nimejua kauli kutoka juu huwa zinatoka wapi

    Mkuu unachosema ni sahihi, lakini ni sahihi kuwazuia wasishiriki shughuli zozote za kijamii kama unavyosema eti kwa vile they will gain a political point?? Kwa mtazamo wangu hawa ni sehemu ya jamii, na tunawajua kuwa ni wanasiasa vile vile tunatambua mchango wa siasa katika taifa letu.,hivyo...
  9. TZ ME

    Bado wapo wenye imani na CHADEMA?

    Nyani Ngabu umeongelea matukio mawili ambayo yamenifanya nisiamini uongozi wa Chadema. Nafuatilia siasa sana hasa za hapa kwetu lakini bado sijashawishika kuchukua kadi ya chama chochote. Chadema niliwashangaa sana mwaka jana, lakini sikuwanyima kura kwasababu ya CCM aliyokuwa ameiacha Jakaya...
  10. TZ ME

    Tetesi: Nipe nikupe, chagua kuendelea na UKUTA au ubaki na Bilicanas

    Hiki chama ni Ubatili mtupu, hivi huyu Mbowe alishaona wanachama wake ni hamnazo kiasi hiki? Kulikuwa na namna nyingi za kufanya kuhusu hii operesheni, na si kutoka kwenye kadamnasi kuwa mmeahirisha ilihali jana tu mnawahakikishia raia kuwa ukuta uko pale pale. Duh Chadema tuamini kipi kutoka...
  11. TZ ME

    Msisitizo; CHADEMA kuna ombwe la uongozi

    Ushauri kwa wapenzi wa upinzani Km mimi, Mhe Mbowe aachie uongozi wa uenyekiti wa chama. Huu mtindo wa kubadilisha gia angani ni ishara mbaya sana kwa chama kikubwa kama Chadema. Mwaka jana Lowasa alikaribishwa kugombea urais kwa gia ya angani hivi hivi na maneno mazuri mengi sana, lakini kama...
  12. TZ ME

    Msaada kwa anayekijua chuo cha NIT

    Hakuna chuo kisicho na changamoto, japo zinatofautiana kidogo. Mwache akasome maana anachohitaji kipo Nit, mengine ni changamoto za kawaida anatakiwa awe mvumilivu ili afikie malengo yake. Hata hapo NIT Wapo wanafunzi Km yy na wana mahitaji Km yy asiogope hata kama chuo kingekuwa Manyoni.
  13. TZ ME

    Nini tafsiri ndoto hii

    Pole jamaa yangu, nitakupm tuyajenge
  14. TZ ME

    Nini kimemtokea Tundu Lissu kwa kubadili jina la Dikteta Uchwara na sasa anaita Mtukufu Rais?

    Mkuu kama umesoma fasihi ya Kiswahili na literature unaweza elewa Lissu anamaanisha au lah. Hahaaa Lissu kaingiza mkenge wengi kumbe [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom