Recent content by tybak

  1. tybak

    Kitu gani katika picha hii cha kushangaza?

    Alipewa nkono wa kushoto
  2. tybak

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kweli wanaexist kwan bado wanachangia
  3. tybak

    Natafuta kubebwa UDSM

    We unaetaka kubebwa hata hujasema jinsia gn?
  4. tybak

    Monica wa Maganzo

    Vp umesafiri nn? Mbna hutupii?
  5. tybak

    Mhadhiri wa UDSM auawa kwa risasi jijini Dar es Salaam

    Kuna comment za watu zinakera sana kama una kitu cha kucomment bora ufunge kinywa chako kuliko kuandika uchafu humu jf. Ujui hata unaloliongea itz pain to see your best tut dying, very painful tena sanaaa, angalien kauli zenu jamn u hurt us
  6. tybak

    Monica wa Maganzo

    :rolleyes::rolleyes::rolleyes: am still waitng....... endelea basi
  7. tybak

    Monica wa Maganzo

    Duh:! Leo katuchinjia baharin.. tunaomba utupe hata siku ambazo utakuwa unaendelea jamn cz huku tunakuwa vichaa wa jf kwa kungojea kwa hamu
  8. tybak

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Doctar alinieleza kiufasaa kuwa wale n mba wa ngozi ambao ni possible kabisa kuwaponya kabisa kwa kutumia dawa ya mba ya kumeza na nliweza kutumia dawa hiyo ndan ya siku kumi nlikuwa nimepona. Afu mba kwa kingereza ndo fungus
  9. tybak

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Naongea hivyo cz nimesumbuliwa na mba kwa muda mrefu nlikuwa nkichana nywele wakidondoka kwenye ngozi napata mba wa ngozi nliamua kwenda hospital na dactar
  10. tybak

    Ujue ugonjwa wa Mba na tiba yake

    Huo unawexa ukawa ugonjwa au usiwe, inawexa ikasababishwa na kutopaka mafuta mara kwa mara kichwan na tiba ni kupaka mafuta mara kwa mara, au inaweza ikawa ni kwasababu ya fangus so nenda dukan chukua dawa ya fangus ya kumeza utakuwa umepona
  11. tybak

    Monica wa Maganzo

    Story imetulia inanifanya niingia jf kila baada ya dakika kuangakia ka inaendelea
  12. tybak

    Yes,i'm goin to marry you,but before that i just wanna make sure of something...

    Nahisi kulingana na kauli hii ya sex b4 marrige ndo maana ndoa nyingi zina matatitizo. Cz due to testing utapata test za aina mbalimbali na hivyo mpaka unahitaji kuoa au kuolewa itakulazimu uendelee na search mpaka upate ile test iliyokufurahisha hence utaishia kuonja tu na kuacha cz people differ,
  13. tybak

    GPA zetu bongo kweli ni kizungumkuti

    Ila ukipambana mbn unatoka tu kitu kupambana hata gpa above 4.0 unaweza pata, udsm mbna m nimeona watu wakipata.
  14. tybak

    Naombeni ushauri wakuu nimempenda msichana sijui nianzie wapi.

    Kwa ushauri mzuri naomba umuache cz kwanza n mtoto bado na still hajitambui na ukimsumbua utakuwa unamwaribia maisha kwan hiyo n tamaa tu!
Back
Top Bottom