embu cheki corruption katuka Taifa letu, ubadhilifu wa fedha za umma, refer report ya CAG ya kila mwaka , uwizi uwizi, uwizi, everywhere, mikataba isiyozingatia maslahi ya Taifa, uporaji wa ardhi ya wananchi kwa kisingizio cha uhifadhi ....Kijani imechooka kufikiri sasa inaenda ku crash , ni...