Propaganda za akina johnthebaptist and Co. Ltd eti ni shujaa. Ushujaa wake unatoka wapi? eti alipigana vita na mabebebru, alipigana vita ipi na alishinda ipi?
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dearly kwa kukurupuka kwake Magufuli!
Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!
Vita gani, Ya Uchumi, kuna bebebru hata mmoja aliondoka akaacha miradi yake? Sana sana we are paying dearly kwa kukurupuka kwake Magufuli!
Amekopa kwa mabeberu mpaka tukawa kwenye red mark, eti leo alipigana na mabeberu!