Kitabu cha wasaliti wa taifa mbioni kutoka

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,755
Wazalendo wa taifa la Tanzania wamejipanga kuandika kitabu kuelezea namna watu mbalimbali, ikiwemo wanasiasa walivyosaliti taifa kuanzia kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hadi mwaka 2020 kutokana na tamaa ya pesa na kwa kutumiwa na mabeberu kuwagawa watanzania ili yaibe rasilimali za taifa vizuri.

Orodha ya wasaliti hao ni ndefu ikijumuisha hadi baadhi ya waandishi wa habari, wana siasa ,viongozi wa dini na wana harakati mbalimbali.

Baadhi ya majina ya wasaliti yatakayoonekana kwenye kitabu hicho ni Tundu Lisu, Ansbert Ngurumo, Nevile Meena, Freeman Mbowe, Godbless Lema, Nape Nnauye, January Makamba, Fatuma Karume, Abdul Kinana, Ezeckia Wenje na wengine wengi.

Kitabu hiki kinaandikwa kuwaonya kizazi kipya kwamba siyo kila king'aacho ni dhahabu, hivyo wawe makini sana na wanasiasa uchwara ili wasije kuangamiza taifa.

Kitabu hiki kitatoka mwishoni mwa mwezi wa nane mwaka 2023 ,hivyo jipange kupata nakala yako.
 
Pitisheni hata mchango, tuwachangie, kitabu hicho kitoke fasta, mkuu. Wazabina wanaweza kuwala kichwa kabla ya kutimiza ndoto hiyo. Famasihara na pesa nini?
 
Wazalendo wa taifa la Tanzania wamejipanga kuandika kitabu kuelezea namna watu mbalimbali, ikiwemo wanasiasa walivyosaliti taifa kuanzia kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hadi mwaka 2020 kutokana na tamaa ya pesa na kwa kutumiwa na mabeberu kuwagawa watanzania ili yaibe rasilimali za taifa vizuri.

Orodha ya wasaliti hao ni ndefu ikijumuisha hadi baadhi ya waandishi wa habari, wana siasa ,viongozi wa dini na wana harakati mbalimbali.
Baadhi ya majina ya wasaliti yatakayoonekana kwenye kitabu hicho ni Tundu Lisu, Ansbert Ngurumo, Nevile Meena, Freeman Mbowe, Godbless Lema, Nape Nnauye, January Makamba, Fatuma Karume, Abdul Kinana, Ezeckia Wenje na wengine wengi.

Kitabu hiki kinaandikwa kuwaonya kizazi kipya kwamba siyo kila king'aacho ni dhahabu, hivyo wawe makini sana na wanasiasa uchwara ili wasije kuangamiza taifa.
Kitabu hiki kitatoka mwishoni mwa mwezi wa nane mwaka 2023 ,hivyo jipange kupata nakala yako.
Na waje na evidences (hard evidences, references); mtaishia kushitakiwa na kuanza kutapatapa kulipa madeni baada ya hukumu, Pamoja na Printers/publishers
 
Wazalendo wa taifa la Tanzania wamejipanga kuandika kitabu kuelezea namna watu mbalimbali, ikiwemo wanasiasa walivyosaliti taifa kuanzia kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hadi mwaka 2020 kutokana na tamaa ya pesa na kwa kutumiwa na mabeberu kuwagawa watanzania ili yaibe rasilimali za taifa vizuri.

Orodha ya wasaliti hao ni ndefu ikijumuisha hadi baadhi ya waandishi wa habari, wana siasa ,viongozi wa dini na wana harakati mbalimbali.
Baadhi ya majina ya wasaliti yatakayoonekana kwenye kitabu hicho ni Tundu Lisu, Ansbert Ngurumo, Nevile Meena, Freeman Mbowe, Godbless Lema, Nape Nnauye, January Makamba, Fatuma Karume, Abdul Kinana, Ezeckia Wenje na wengine wengi.

Kitabu hiki kinaandikwa kuwaonya kizazi kipya kwamba siyo kila king'aacho ni dhahabu, hivyo wawe makini sana na wanasiasa uchwara ili wasije kuangamiza taifa.
Kitabu hiki kitatoka mwishoni mwa mwezi wa nane mwaka 2023 ,hivyo jipange kupata nakala yako.
Hii game mliyoianzisha ni Tamu Sana,prophesa wa Malawi kachukua research data zake Tanzania,na anasubiri apige mpunga wa maana wa mauzo ya kitabu CHAKE,sisi bado tunatiana vidole vya umbeya machoni
 
Hii game mliyoianzisha ni Tamu Sana,prophesa wa Malawi kachukua research data zake Tanzania,na anasubiri apige mpunga wa maana wa mauzo ya kitabu CHAKE,sisi bado tunatiana vidole vya umbeya machoni
Subiri kitabu kije ,kitakuwa na ushahidi usiotia shaka
 
Wazalendo wa taifa la Tanzania wamejipanga kuandika kitabu kuelezea namna watu mbalimbali, ikiwemo wanasiasa walivyosaliti taifa kuanzia kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hadi mwaka 2020 kutokana na tamaa ya pesa na kwa kutumiwa na mabeberu kuwagawa watanzania ili yaibe rasilimali za taifa vizuri.

Orodha ya wasaliti hao ni ndefu ikijumuisha hadi baadhi ya waandishi wa habari, wana siasa ,viongozi wa dini na wana harakati mbalimbali.

Baadhi ya majina ya wasaliti yatakayoonekana kwenye kitabu hicho ni Tundu Lisu, Ansbert Ngurumo, Nevile Meena, Freeman Mbowe, Godbless Lema, Nape Nnauye, January Makamba, Fatuma Karume, Abdul Kinana, Ezeckia Wenje na wengine wengi.

Kitabu hiki kinaandikwa kuwaonya kizazi kipya kwamba siyo kila king'aacho ni dhahabu, hivyo wawe makini sana na wanasiasa uchwara ili wasije kuangamiza taifa.

Kitabu hiki kitatoka mwishoni mwa mwezi wa nane mwaka 2023 ,hivyo jipange kupata nakala yako.
Anayetuhumu anapaswa kuthibitisha. Njooni na huo ujinga wenu mshitakiwe halafu muanze kujilizaliza mnaonewa sababu ya Magufuli. Uzalendo uchwara wenu nyie ndo mliagiza magari mkaficha kwenye kontena la vitabu?
 
Kabisa, walidhani wao pekee wanajua kuandika vitabu! 🤣
embu cheki corruption katuka Taifa letu, ubadhilifu wa fedha za umma, refer report ya CAG ya kila mwaka , uwizi uwizi, uwizi, everywhere, mikataba isiyozingatia maslahi ya Taifa, uporaji wa ardhi ya wananchi kwa kisingizio cha uhifadhi ....Kijani imechooka kufikiri sasa inaenda ku crash , ni hesabu ndogo haihitaji degree kuelewa kwamba kwa sasa tuko 61.million by population ardhi ni ileile ya mwaka 1961 wakati tukiwa 30 millioni , kwanini mapori mengine wasigawiwe wanachi wakalime ??? kuwapiga risasi ndiyo solution????? ama kweli kijani imechooka choko ...inahitaji msaada wa hali na mali.....The problem can not be solve by the same level of consciousness that created them alisema mtaalum mmoja ...
 
embu cheki corruption katuka Taifa letu, ubadhilifu wa fedha za umma, refer report ya CAG ya kila mwaka , uwizi uwizi, uwizi, everywhere, mikataba isiyozingatia maslahi ya Taifa, uporaji wa ardhi ya wananchi kwa kisingizio cha uhifadhi ....Kijani imechooka kufikiri sasa inaenda ku crash , ni hesabu ndogo haihitaji degree kuelewa kwamba kwa sasa tuko 61.million by population ardhi ni ileile ya mwaka 1961 wakati tukiwa 30 millioni , kwanini mapori mengine wasigawiwe wanachi wakalime ??? kuwapiga risasi ndiyo solution????? ama kweli kijani imechooka choko ...inahitaji msaada wa hali na mali.....The problem can not be solve by the same level of consciousness that created them alisema mtaalum mmoja ...
Na maarifa yote uliyonayo bado unaamini kukombolewa na wanasiasa? 😳
 
Anayetuhumu anapaswa kuthibitisha. Njooni na huo ujinga wenu mshitakiwe halafu muanze kujilizaliza mnaonewa sababu ya Magufuli. Uzalendo uchwara wenu nyie ndo mliagiza magari mkaficha kwenye kontena la vitabu?
Nao wanatafuna pia
 
Wazalendo wa taifa la Tanzania wamejipanga kuandika kitabu kuelezea namna watu mbalimbali, ikiwemo wanasiasa walivyosaliti taifa kuanzia kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 hadi mwaka 2020 kutokana na tamaa ya pesa na kwa kutumiwa na mabeberu kuwagawa watanzania ili yaibe rasilimali za taifa vizuri.

Orodha ya wasaliti hao ni ndefu ikijumuisha hadi baadhi ya waandishi wa habari, wana siasa ,viongozi wa dini na wana harakati mbalimbali.

Baadhi ya majina ya wasaliti yatakayoonekana kwenye kitabu hicho ni Tundu Lisu, Ansbert Ngurumo, Nevile Meena, Freeman Mbowe, Godbless Lema, Nape Nnauye, January Makamba, Fatuma Karume, Abdul Kinana, Ezeckia Wenje na wengine wengi.

Kitabu hiki kinaandikwa kuwaonya kizazi kipya kwamba siyo kila king'aacho ni dhahabu, hivyo wawe makini sana na wanasiasa uchwara ili wasije kuangamiza taifa.

Kitabu hiki kitatoka mwishoni mwa mwezi wa nane mwaka 2023 ,hivyo jipange kupata nakala yako.

Walisaliti mapenzi au?.
 
Mwandishi ametenga kiasi gani cha pesa za kuendeshea kesi za Slander.....
 
Back
Top Bottom