Recent content by Two ten

  1. Two ten

    Mgambo akisoma diploma kisha aende jkt, kuna advantage yoyote ya kubakizwa aajiriwe Jwtz ?

    Na je aliyepata division 2 (PCB) mwanamke, yupo JKT kwa mujibu Sasa hivi, anaweza kubakishwa akajiunga na JWTZ?
  2. Two ten

    Nimemfungulia wife biashara ndogo tu! Ila naona kama ishaanza kumpa jeuri Najutaaa

    Huko kutawala kwenyewe mnaweza Sasa! Unakuta jitu halijiwezi ...Yani anapata changamoto kidogo tuu ndo baaasiii hawezi tena kujipambania! Ndo ukae unategemea watu wa hivyo?
  3. Two ten

    Nimemfungulia wife biashara ndogo tu! Ila naona kama ishaanza kumpa jeuri Najutaaa

    Yaniii...!!! Nimeshangaa sana kwa kweli! Kumbe ili uolewe unatakiwa uwe kapuku? Tena uwe na mindset ya kimasikini...ukiwa na mipango ya kujiendeleza zaidi eti una kiburi. Utamdharau mumeo? Bado ukifanya hayo yote wanakuolea mke wa pili au michepuko kila Kona na kwa sababu huna kitu uvumilie tuu...
  4. Two ten

    TAMISEMI kupangia watoto waliomaliza kidato cha nne kujiunga na vyuo

    Si nasikia Kuna baadhi ya course wanapatiwa mikopo?
  5. Two ten

    Naomba ushauri kuhusu biashara yangu inakoelekea inaenda kukata roho sio muda

    Biashara ya mchele Mwaka huu imekua ngumuu balaa, usidhani ni wewe peke yako..🤔 pia Michele ni mingi mno.! Ila usibadilishe biashara endelea tuu labda ubadili location.
  6. Two ten

    Biashara ya parachichi Hass

    Habari za Leo wakuu.. Naomba kwa anayefahamu Tani 1 ya parachichi(Hass) ni shilingi ngapi? Naomba Bei ya shamba na Bei ya kutoka shamba mpaka Dar. Shukran
  7. Two ten

    Nitumie nini makovu yaweze kuisha?

    Pia fanya scrub ya mwili mzima.. scrub ya kahawa ukimaliza upake mafuta ya nazi.
  8. Two ten

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Kasema alivaa pant ya kijeshi.....na bikini nyeupe.
  9. Two ten

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    🤣🤣🤣🤣 Watu mna vituko dah!
  10. Two ten

    Kwa Wafanyakazi wote walioko Uarabuni

    Jasor Yasintajohn56 The Icebreaker Mpaji Mungu zous Dream Queen nipeni mawazo kidogo...nifanyeje?
  11. Two ten

    Kwa Wafanyakazi wote walioko Uarabuni

    Msaada kwenye tuta... Nimekua naitwa sana kwenye interview na hii kampuni Afaq Group.. Nimeitwa kama mara 4 Hivi.. niliwekaga details zangu linked in..Sasa naitwa Kila siku ila ndo hivyo sipo huko.. deadline inapita... Sasa Nina maswali najiuliza....nijilipue niende tuu?? Je nikikosa kazi...
  12. Two ten

    Wanawake leo fungukeni ni kitu gani ukikikuta kwa mwanaume au hali gani ukimuona mwanaume mzuka unakata kuzagamua?

    awe presentable (yani popote naweza kwenda nae na kumtambulisha ), ananukia unyunyu wa maana na pia yeye mwenyewe awe anajiweza..
Back
Top Bottom