Recent content by Twinawe

  1. Twinawe

    QR Code haiwezi kuwa njia ya udhibiti wa jezi feki

    Naomba nikusahihishe QR code ni aina ya barcode barcode mpaka sasa tuna aina mbili ambazo ni QR (quick response) code barcode na linear barcode ndo nilivyofundishwa na mwalimu wangu wa security
  2. Twinawe

    Kwanini matajiri (watu waliofanikiwa) hudhani masikini ni wavivu?

    Siku ukiwa tajiri utafahamu kua kweli maskini ni wavivu matajiri wanafanya vitu ambavyo masikini vimewashinda kufanya sababu ya uoga na uvivu
  3. Twinawe

    Nywele zangu za kifuani zimeanza kuwa na mvi, je tatizo ni nini?

    Una umri gani mimi nina miaka 30 ila nina mvi kichwani ndevu na kifuani
  4. Twinawe

    Kipato cha Tsh. 3000 kila siku ni poa au napoteza muda na nguvu?

    Ndo maana kila nikipitaga morogoro uwa namshukuru Mungu niliteseka sana ndani ya ule mkoa
  5. Twinawe

    Kipato cha Tsh. 3000 kila siku ni poa au napoteza muda na nguvu?

    Mi nimewahi ajiliwa na classmate wangu aliyeishia form four wakati nina diploma yangu kwa ujira wa sh 3000 kwa siku wakati mwingine hata nisipate hiyo 3000 yote kwa yote namshukuru sana alinivusha kipindi kigumu sana kiuchumi wakati wa corona hiyo elfu tatu ilikua kubwa sana kwangu kwa wakati ule
  6. Twinawe

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    Kweli huna akili sio kila mtu anashobokea dar uko dar dodoma nina viwanja ila acha nianze kujenga home kwanza nayajua maisha yangu kuliko huo mtazamo wako
  7. Twinawe

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    vyumba viwili sebule open stoo choo public toilet na pia chumba kimoja master
  8. Twinawe

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    kabisa na mikoa ambayo ni mbali na dar kiukweli ni changamoto sana
  9. Twinawe

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    yes mimi niko mlimani kiasi fulani kyakailabwa nakua napaona kwa mbali kdg
  10. Twinawe

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    Karibu kyakairabwa
  11. Twinawe

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    Millioni tatu nahamia mengine nitafanya taratibu
  12. Twinawe

    Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    E Mungu nisamehe dhambi hiyo. Tangu mwaka 2016 nanunua malaya for the first time ilikua kirumba mwanza ila ayo maroho na nuksi mnazosema. Kila nikijaribu kuacha najikuta narudi tena
  13. Twinawe

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    msingi kwa kujumlisha na septi tank mawe trip 18
  14. Twinawe

    Mliojenga, shikamooni wakubwa zangu

    ujenzi wa dar na mkoani ni tofauti kidogo dar viwanja vingi tambarale na materials ni very cheap ukilinganisha na mkoani
Back
Top Bottom