Recent content by Twinawe

  1. Twinawe

    Mfanyabiashara Alex Msama akamatwa kwa tuhuma za Utapeli wa Viwanja vya Tsh. Milioni 800

    Sitamkubali nakumbuka mwaka 2019 kipindi nahustle alitangaza nafasi za uhudumu kwenye migahawa yake sehemu ya usaili ilikua leaders club dah asee ule usaili walihudhuria sio chini ya watu 3000 alichoniboa alikua anaturecord na makamera yake kipindi kile nadhani ndo anamiliki dira tv ,anatulecord...
  2. Twinawe

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huyu jamaa uzi wake umeleta impact sana pppte ulipo barikiwa sana
  3. Twinawe

    Kamwe Mfugaji hawezi kuishi pamoja na Mkulima. Maisha hayawaruhusu

    Kwani huwezi kua mkulima na ukawa mfugaji
  4. Twinawe

    Sio kila hela kubwa unayopata ujengee au ufanyie biashara nyingine kula Bata ila kumbuka kununua mashamba bado utaonekana mjanja tu

    Kaka yangu amekufa kesho yake tanesco wanakuja kumwekea umeme hata nyumba yake hakukaa zaidi ya week
  5. Twinawe

    Hii hali huwa inanisumbua sana

    Asee kwanza nimshukuru raisi wangu Mama samia kwa kuongoza vyema aina hii ya vijana wenye mchango mdogo kwa taifa
  6. Twinawe

    Wadada wa siku hizi sielewi wanawezaje kuendesha biashara zao ndogo kwenye fremu za gharama kubwa

    Kuna jengo kubwa sana jipya pale sinza mall mkono wa kulia kama unaelekea mwenge biashara za pale uwa sielewi watu wanapataje faida make niliwai kushinda pale week mfullizo huoni wateja wakija kuchukua bidhaaa ghorofa ya pili na ya tatu ila watu daily wapo
  7. Twinawe

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Ewure mbona mwaka jana wameajiri kupitia psrs
  8. Twinawe

    P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

    Mbona jamii forum kama mnasupport sana nyuzi za ushoga ,huzi kama huu inabidi ufutwe humu kuna vijana under 18 mtu akisoma hivi vitu tunatengeneza kizazi cha kuona kutatuliwa Melinda ni jambo la kawaida
  9. Twinawe

    Natamani kusomea Information Technology

    Lakini kama hujui hesabu masomo ya IT huyoboi asee asikudanganye mtu IT ni logic make unasoma circuit na programming
  10. Twinawe

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Wanajilipa sababu wao ndo wazalishaji wakuu wa nchi
  11. Twinawe

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Tiaraei nilipakosa kosa kidogo
  12. Twinawe

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Yes nakuelewa kaka
Back
Top Bottom