Sitamkubali nakumbuka mwaka 2019 kipindi nahustle alitangaza nafasi za uhudumu kwenye migahawa yake sehemu ya usaili ilikua leaders club dah asee ule usaili walihudhuria sio chini ya watu 3000 alichoniboa alikua anaturecord na makamera yake kipindi kile nadhani ndo anamiliki dira tv ,anatulecord...
Kuna jengo kubwa sana jipya pale sinza mall mkono wa kulia kama unaelekea mwenge biashara za pale uwa sielewi watu wanapataje faida make niliwai kushinda pale week mfullizo huoni wateja wakija kuchukua bidhaaa ghorofa ya pili na ya tatu ila watu daily wapo
Mbona jamii forum kama mnasupport sana nyuzi za ushoga ,huzi kama huu inabidi ufutwe humu kuna vijana under 18 mtu akisoma hivi vitu tunatengeneza kizazi cha kuona kutatuliwa Melinda ni jambo la kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.