Recent content by Twinawe

  1. Twinawe

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo ya Sh 20,000 kwa ajili ya cheti cha kuzaliwa RITA yanahusisha nini na nini? Kwanini natoa malipo ya ziada kama ya lamination?

    Jamaa hoja ni kosa la jinai kutumia ofisi ya umma au miundombinu au mali za umma kwa manufaa binafsi
  2. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Bila kifo cha Magu, Bashiru alikuwa anaukwaa Urais kimzaha

    Natamani simbachawene awe raisi wa hii nchi
  3. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Geoffrey Mosiria, Magufuli wa Jiji la Nairobi

    Ni uchungu sana
  4. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Tangu uanze kusafiri kupitia mabus ya kisasa yenye vyoo ndani ulishawai kujisaidia haja kubwa,ulijisikiaje?

    Mi nikiingiaga umo naanzaga kuwaza gari ikipiga chini itakuwaje
  5. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Hivi wale wadada wa enzi ile JF wako wapi? Hebu watag hapa waje tujikumbushe nyuma kidogo

    Mahondah Everyn salt Heaven sent
  6. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Hivi wale wadada wa enzi ile JF wako wapi? Hebu watag hapa waje tujikumbushe nyuma kidogo

    Kapeace Miss natafuta Money penny Madam
  7. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Mimi naamini mungu yupo lakini dini hazina uhalisia
  8. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Kipi kilikufanya uamini Mungu yupo au hayupo?

    Sasa mbona Dini ni nyingi ila mvua ikinyesha inawanyeshea wote,na jua likiwaka linawamulikia wote na wanadamu tumefanana kila kitu mifumo yote ya mwili tofauti rangi za ngozi
  9. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Je, unawafahamu wafanya-kazi wa USALAMA WA TAIFA?? Uliwahi kuwaona?? Wasome hapa.

    Sasa usalama wa hii nchi wanafanya kazi gani mbona mimi intelligence yangu inanionyesha mambo mengi ambayo wanashindwa kuyasolve
  10. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Aliyejirekodi na kuonyesha Kariakoo hakuna Watu na Maduka yamefungwa siku ya 77 apewa kesi ya Ugaidi

    Zamani nilijuagq gaidi ni mtu wa kutisha anamiliki zana za Kivita kumbe hata mwenye simu tu anaweza kua gaidi
  11. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Mawazo ya matajiri Vs mawazo ya masikini

    Matajiri wataenda motoni
  12. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje namimi niweze kuongea bass kubwa ya kunguruma

    Hahah sawa
  13. Twinawe

    JamiiForums Tanzania Ajali ya basi la Isamilo na Libanika, alfajiri ya leo

    Kuna siku nimepanda Esther luxury natoka Arusha dereva alikuaga anasinzia nilitamani kushuka
  14. Twinawe

    JamiiForums Tanzania NMB App iko down tangu jana hadi Muda huu

    Bado tu ? Nina shida na salary advance
Back
Top Bottom