Naomba nikusahihishe QR code ni aina ya barcode barcode mpaka sasa tuna aina mbili ambazo ni QR (quick response) code barcode na linear barcode ndo nilivyofundishwa na mwalimu wangu wa security
Mi nimewahi ajiliwa na classmate wangu aliyeishia form four wakati nina diploma yangu kwa ujira wa sh 3000 kwa siku wakati mwingine hata nisipate hiyo 3000 yote kwa yote namshukuru sana alinivusha kipindi kigumu sana kiuchumi wakati wa corona hiyo elfu tatu ilikua kubwa sana kwangu kwa wakati ule
Kweli huna akili sio kila mtu anashobokea dar uko dar dodoma nina viwanja ila acha nianze kujenga home kwanza nayajua maisha yangu kuliko huo mtazamo wako
E Mungu nisamehe dhambi hiyo.
Tangu mwaka 2016 nanunua malaya for the first time ilikua kirumba mwanza ila ayo maroho na nuksi mnazosema.
Kila nikijaribu kuacha najikuta narudi tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.