Uwanja wa Arusha upo katika hatua nzuri kabisa. Changamoto ni hizo huduma nyingine.
Barabara distance ni ndogo tu, mwezi unatosha kufanya landscape nje ya uwanja na kuunganisha barabara kwa kiwango cha lami.
Kule itakuwa kama tunaenda sokoni na kurudi.
Ila kukamilika utakamilika kwa wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.