Recent content by twende-kazi

  1. twende-kazi

    Mbuzi VS kuku wataalam wa kuchambua risk za mifugo ipi ina risk na inaongoza Kwa kuingiza watu mkenge

    Mkuu Nipe connection hiyo aisee kwa maana wanyama wangu walibebwa na watu wasiojulikana
  2. twende-kazi

    Tofali za kuchoma kwa wakazi wa Morogoro

    Niaje kiongozi? Bado unauza matofali ya kuchoma?
  3. twende-kazi

    Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi

    Tena na ikipendeza uvae kabisa nguo za ccm Yaani hii nchi ni ya kinyoro sana hasa hawa viongozi ndiyo wana haribu nchi,
  4. twende-kazi

    Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

    Asilimia kubwa sana yawezekana amerushwa ili kupisha kiwingu ktk ulaji wa watu
  5. twende-kazi

    Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

    Hii yawezekana mkuu kabisa Yaani mara nyingi inakuwa hivyo, Mfano mmoja Kule pande za Kawe beach karibu na nyumba Assas, kuna mtu aliuwawa (beach boy) Huyu jamaa kila siku alikuwa anasema speedboat zinakuja usiku hapa kila week na Kwa kuwa yeye alikuwa analala pale ufukweni Basi siku zikapita...
  6. twende-kazi

    Tanga: Afisa wa TRA ajirusha ghorofani na kufariki

    Alafu ni Kweli sometimes unaweza kukuta ameuwawa ndani alafu ndiyo akatupwa ili ionekanike amejirusha
  7. twende-kazi

    Hati hati kunyongwa kisa kamkufuru mtume

    Sijui Kwa nini aisee
  8. twende-kazi

    Naomba mbinu za kumkamata mchawi

    Hii hatari ahahahhahahha
  9. twende-kazi

    Siku hizi watu wanavurugwa sana mtu hata hakujui anakufokea njiani

    Ahahahahah aisee watu wamevurugwa sana utakuta hapo alikuwa anatafuta tuu useme kitu na wewe Kwa ukali Basi apate chanzo cha kukufokea zaidi na hata kukutwanga kabisa Ova
  10. twende-kazi

    Ushauri: Baba mzazi hamtaki mtoto wake wala kuzungumza na mzazi mwenzake

    Kweli kabisa ndugu yangu, wazazi hasa upande wa kike wana tabia zaidi ya kuwapa watoto sumu ya kufanya Baba aonekanike mbaya sana yaani maneno yote yatakayosemwa kuhusu baba ni mabaya na kamwe siyo mazuri. Mimi Kama mimi binafsi Nipo ktk situation kama hii na kuanzia mzazi mpaka ndugu, jamaa na...
  11. twende-kazi

    Ashikiliwa na Jeshi la Polisi Morogoro kwa tuhuma za wizi wa misalaba 14

    Wanayaunguza kabisa na mishumaa, Yaani maua yanakuwa uchafu juu ya kaburi Kwa kuchomwa moto na yote hii kisa wasiibe, Yaani ni shida Tupu, pale kinondoni niliacha mishumaa ktk kaburi la Baba yangu Yaani ile mishumaa ya kuwaka Kwa siku Tatu Lakini baada ya mazishi siku inayofuatia nilikwenda pale...
  12. twende-kazi

    Ashikiliwa na Jeshi la Polisi Morogoro kwa tuhuma za wizi wa misalaba 14

    Mimi ndugu yangu kazikwa makaburi ya kola na waliiba msalaba na kung’oa kila kitu kilichowekwa ktk kaburi Yaani nilijua nimekwenda kaburi tofauti Ova
  13. twende-kazi

    DODOMA; Wabunge Washindana kula Ubwabwa!

    Ni Kweli mambo ya ajabu ajabu wao ndiyo wapo mstari wa mbele kufanya alafu wakati wapo ndani ya bunge wanasahau yake yote wananchi wanapitia. Na baada ya hapo wanakuwa wa kwanza kupiga mahesabu ya mapato yao tuu na Ndiyo maana kila mtu anakuambia nataka nigombee ubunge na siyo kumsaidia...
Back
Top Bottom