Naomba mbinu za kumkamata mchawi

chamilo nicolous

JF-Expert Member
Mar 10, 2016
1,991
1,364
Wandugu heri ya ijumaa!

Kuna dogo ni beki 3, ninahisi ananguvu za ajabu ajabu a.k. a mauza uza!

Sasa nikasema moyoni nitaenda kwa wanajamii forums, great thinkers wenye akili Mithali ya Aristotle, Socrete, na Plato, watu walikuwa na maarifa na akili za kiufumbuzi wa matatizo!

Ndugu nipeni maarifa, ikiwa miongoni mwa wanakaya anaujuzi wa giza ni vipi kuubaini, umkutulize puuuu, umuumbue, paaaaaa

Naomba kuwasilisha
 
.
20230615_200055.jpg
 
Wandugu heri ya ijumaa!

Kuna dogo ni beki 3, ninahisi ananguvu za ajabu ajabu a.k. a mauza uza!

Sasa nikasema moyoni nitaenda kwa wanajamii forums, great thinkers wenye akili Mithali ya Aristotle, Socrete, na Plato, watu walikuwa na maarifa na akili za kiufumbuzi wa matatizo!

Ndugu nipeni maarifa, ikiwa miongoni mwa wanakaya anaujuzi wa giza ni vipi kuubaini, umkutulize puuuu, umuumbue, paaaaaa

Naomba kuwasilisha
Sikia kijana, kamata paka na umuoshe uso. Maji Yale yakinge unaweza wew usoni. Kisha chukua fimbo ya kioande cha mti wa muhogo ifiche kiunoni. Utamuona laiv... Na Kwa sabab ana vitimbi ataanza kukatika viuno na kukusiginia. Mchape na fimbo
 
Sikia kijana, kamata paka na umuoshe uso. Maji Yale yakinge unaweza wew usoni. Kisha chukua fimbo ya kioande cha mti wa muhogo ifiche kiunoni. Utamuona laiv... Na Kwa sabab ana vitimbi ataanza kukatika viuno na kukusiginia. Mchape na fimbo
Paka wa umri wowote au wale vichanga ambavyo havijafungua macho?
 
Back
Top Bottom