Recent content by Tuyauze

  1. Tuyauze

    Rais Magufuli Azindua Kiwanda cha Matunda Msoga kwa Kikwete

    Safi sana naiona Pwani ya viwanda
  2. Tuyauze

    Pwani kuna viwanda 371... How!??

    Dar es salaam imeshajaa. Kupata ardhi ya kujenga kiwanda inakubidi ununue nyumba na kuzivunja. Pwani ina maeneo mengi kwa hiyo wawekezaji wengi sasa hivi wanawekeza mkoa wa Pwani
  3. Tuyauze

    Miji miwili iliyobarikiwa zaidi na Mungu Tanzania

    Kwa hiyo unajivunia Dar es salaam? Hutaki kujivunia kwa wazazi wako! Ndio nyinyi mkiulizwa mnasema kwetu Dar es salaam na mie mzaramo.
  4. Tuyauze

    IGP, Kama unataka kuwakamata wauaji Pwani...

    Wakamatwe na washughulikiwe hao wahuni huu uovu wao hauvumiliki hata kidogo. Poleni wafiwa na wahanga wote
  5. Tuyauze

    Tanzania inamuhitaji Jaoa De Havelange katika soka, Jamal Malinzi ni chaguo sahihi.

    ukimfahamu,usipomfahamu Mimi hainiusu. Zaidi utahadithia umbea kama shilawadu Malinzi ni changanyikeni na kabisa bora hata achukue Madega kuliko huyo asiejielewa.Simkubali hata kidogo- hafai hafai -hafai
  6. Tuyauze

    Tanzania inamuhitaji Jaoa De Havelange katika soka, Jamal Malinzi ni chaguo sahihi.

    Dogo mie sio popoma kama wewe unayelipwa. Naangalia maslahi ya taifa na mchezo wa soka. Inakera kila siku timu ya taifa inafanya vibaya na huyo mjomba wako au ndio wewe Malinzi kil*za amekaa anachofanya akijulikani. Infact acha kuchunguza ID za watu .Kama nimejiunga jana au juzi ni ya kwangu...
  7. Tuyauze

    Tanzania inamuhitaji Jaoa De Havelange katika soka, Jamal Malinzi ni chaguo sahihi.

    Ni wakati wa kumuweka Nyamlani. Makosa yalishafanyika na watu wengi walikuwa na imani nae. Nyamlani ni mzoefu na kipindi kile TFF ya Tenga haikuwa na migogoro.
  8. Tuyauze

    Nawaomba radhi Watanzania kwa kushiriki kumuweka Madarakani Malinzi

    Ni kweli mkuu, umekuwa muungwana. Pale inahitajika injini ya Tenga Athumani Nyamlani. Ni mchapakazi nzuri toka akiwa kiongozi wa ngazi ya wilaya Temeke (TEFA). Aliwezesha chama cha wilaya kuwa chama cha pili kimapato baada ya TFF. Pale aliacha mradi mkubwa wa ujenzi wa kiwanja cha mabatini. Pia...
Back
Top Bottom