Recent content by tuwe wakweli

  1. T

    Huu ndio utajiri mkubwa utakaoupata kama utaamua kufanya biashara hii

    Naanza kwa kuunga mkono hoja kuwa kweli huu ni uwekezaji wa kudumu na itakufaidisha zaidi ukiwa na eneo kubwa ambapo utaanza kuuza miti kwa mkupuo. LAKINI NAPINGA VIKALI UPOTOSHAJI WA TAKWIMU ULIOUFANYA. Haiwezekani hata kidogo ekari 1 ya miti yenye umri wa kati ya miaka 6-8 iuzwe kwa millioni...
  2. T

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njooni KILOLO-IRINGA nije -WANGING'OMBE/MAKAMBAKO/NJOMBE MJI/NJOMBE VIJIJINI. Huku utanufaika na uwekezaji wa upandaji wa miti wenye manufaa .Hii inamhusu awaye yeyote mwenye kutafuta fursa. Hata kama sio kwenu kutakufaa.
  3. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    AHSANTE MELBOURNE kwa kunipa mtaji wa leo Option 1Y.
  4. T

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeulaaaa! sema man city,beryen munich na real madrid wamenikosesha mpunga zaidi,kwani win odds zao ninapoziselect zilikuwa zinagoma.
  5. T

    Wito kwa walimu wenzangu, tuseme yatosha CWT-CCM

    Fyuuuuu! kwa hiyo yakisemwa mabaya eti tunajihusisha na siasa,acha akili za kuambiwa wewe pungu.Penye zuri nitasema na kwenye baya the same,maana hizo ni hela zetu zilizoibwa,usitegemee tukae kimya.
  6. T

    Wito kwa walimu wenzangu, tuseme yatosha CWT-CCM

    Kuna thread hapa ililetwa kuhusiana na CWT kuwapa CCM mabilioni ya kukamilishia goli la mkono.Na wale viongozi wakuu wa CWT walitafutiwa namna ya kifuta jasho mara baada ya kukafanikisha dili hilo. Walipoona mgao hautoshi vzr,imebidi baadhi yao kuwe vyeo hasa vya ukuu wa Wilaya kama hawa...
  7. T

    Kwa matokeo ya fm 6 hili lipoje?

    Heshima kwenu wandugu. Naomba kuuliza jambo moja,hivi inawezekana kuunganisha matokeo ya NECTA ya form 6 ya kikao kimoja na kikao kingine ili kuqualify kuapply nafasi ya masomo let say diploma. Kwa mfano mwaka 2013 alipata principle pass 1 tu bila hata subsidiary na mwaka 2014 akapata...
  8. T

    Short courses

    Habari wadau,nauliza ni wapi nitaweza kupata short course yoyote isiyozidi muda wa mwezi mmoja na itakayokuwa Desemba.
  9. T

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jamani Njoo Kilolo-Iringa Nije Makambako/Wanging'ombe/Njombe mji/vijijini Muda Ndiyo Huu,usichelewe Just Ni PM
  10. T

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hapana,ila kibali kitatolewa na katibu tawala wa mkoa endapo unaenda halmashauri nyingine ndani ya mkoa
  11. T

    Ushauri wenu ni muhimu, matokeo sio mazuri

    Kuna mtu wangu alihitimu kidato cha 4 mwaka 2008 akipata ufaulu wa div.4 ya point 26 na alipata credit 4 ya,Civics B,English C,Kiswahili C na Geography C na the rest yote ni F. Kwa bahati nzuri alijiunga na Advanced level ambapo aligraduate 2012 na kwa bahati mbaya hakufaulu vzr kwani alipata...
  12. T

    Wa Kijijini usiende mjini kwa nduguyo bila sababu yenye faida, mnatesa watu

    Mboga 8 it means kuwa na maisha safi,ndipo hapo waulizwa kama huyo ndunguyo angekuwa na maisha safi,ungekaa siku ngapi?
  13. T

    Wa Kijijini usiende mjini kwa nduguyo bila sababu yenye faida, mnatesa watu

    Hahahahahahaaaaaa!kiongozi umeuwa,naona una ushuhuda tosha aisee,ebu wambie.
  14. T

    Walimu waajiriwa wa 2011 tukutane hapa, Serikali imetusahau

    Kufika page ya 3 haithibitishi unayoyasema,huo ni uongo,serikali haikuajiri mwaka huo taja ila toka ajira za October 2010,zikafuata za Feb 2012,halafu tambueni hata wa 2010 kuna baadhi ya halmashauri hawajapandishwa madaraja,sembuse nyie.
Back
Top Bottom