Yaan tulienda kwa daktari baada ya miaka mitatu ili atolewe lakini haikuonekana akaambiwa akae miaka mitatu tena ndipo arudi lakini baada ya hapo kurudi tena bado tu haijaoneka ndo akaenda kwenye utrasound na hakuna mafanikio
Baada ya kubahatika kumpata mtoto mmoja, mke wangu alitumia NJITI kama njia ya uzazi wa mpango sasa baada muda akagundua njiti imepotelea mwilini. Tumejaribu kumtafuta mtoto pasipo na mafanikio tumemwona daktar akashauri utrasound kubaini sehemu ilipo hiyo njiti lakini hakijaonekana kwakweli...
ujue kuna continouing beneficier na wale ambao wameomba afresh,sasa bado hayajatoka majibu kama wamepata au laah labda wajumbe watuhakikishie tulijue hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.