Recent content by tutuza

  1. T

    Msaada

    Poa mkuu
  2. T

    Msaada

    Yaan tulienda kwa daktari baada ya miaka mitatu ili atolewe lakini haikuonekana akaambiwa akae miaka mitatu tena ndipo arudi lakini baada ya hapo kurudi tena bado tu haijaoneka ndo akaenda kwenye utrasound na hakuna mafanikio
  3. T

    Msaada

    Mwaka wa nane sasa. Kuhusu cku zake zinabadilika kila wakati.
  4. T

    Msaada

    Baada ya kubahatika kumpata mtoto mmoja, mke wangu alitumia NJITI kama njia ya uzazi wa mpango sasa baada muda akagundua njiti imepotelea mwilini. Tumejaribu kumtafuta mtoto pasipo na mafanikio tumemwona daktar akashauri utrasound kubaini sehemu ilipo hiyo njiti lakini hakijaonekana kwakweli...
  5. T

    Nahitaji kitambi, nile nini?

    Daa kumbe tumefotiana eee...ok mm naomba dawa ya kutoa huo ugonjwa
  6. T

    Msaada jamani, kuna mdada nimempenda humu JF lakini nashindwa kumwambia

    Amesema na yeye anakupenda anaogopa kukuambia...ila kasema mtumie helaaa
  7. T

    Walichonifanyia Loan board duh!

    ujue kuna continouing beneficier na wale ambao wameomba afresh,sasa bado hayajatoka majibu kama wamepata au laah labda wajumbe watuhakikishie tulijue hilo
  8. T

    Waliopata mikopo HESLB 2014/15

    naomba uchungulie na hii S0976/0029/2006
  9. T

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    naomba na hii ndugu S0976/0029/2006
  10. T

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    Naomba uniangalizie best! P0992/0031/2005
  11. T

    Waliopata mikopo HESLB 2014/15

    mkubwa hebu naomba uniangalizie , P0992.0031.2005
Back
Top Bottom