Recent content by TUTEER

  1. T

    Mshahara wa mhasibu Compassions ni Tshs ngapi?

    Kwa anayejua mshahara wa mhasibu kiwango cha degree ni shilingi ngapi katka NGO inayoitwa Compassion hapa Tanzania
  2. T

    Intelegensia ya "UKAWA" ipoje?, hasa kuhusu usalama wa KURA zetu!

    Wew piga kura haya mengine tuachie kikosi maalumu.
  3. T

    Tume Ya Taifa ya Uchaguzi yapinga zuio la kutumia viwanja vya Jangwani tarehe 29 Agosti, 2015

    Mleta mada katupia viroba hahahaaa kama mkuu wake wa nchi aliyetuambia watu tuliomchagua Malofa.
  4. T

    Nawezaje kufuta google account kwenye simu yangu?

    Wana jf naomba mnielekeze nawezaje kuifuta google akaunt ktk cm yangu.
  5. T

    CUF kwishne, ya Juma Duni Haji sasa rasmi majimboni, Tabora Mjini hali tete

    Nlikuepo jana hadi kikao kinakwisha mambo yamekwisha na atagombea mgombea wa CUF UKAWA mambo mdundo.
  6. T

    Kiwanda chafungwa kwa kusindika nyama ya Punda

    Daa!,nlisema sintokula nyama ya punda ila kwa miaka 10 nliyoishi Dodoma tayar wameshanilisha punda hawa wajinga.
  7. T

    Mabomu ya machozi na risasi zinarindima Makoroboi jijini Mwanza

    Mm pia nmeshuhudia mapambano ya machinga na polisi pale mjini karibu na Bot mabomu yamepigwa kweli,hii nchi ya kibabe mbaya!
  8. T

    Tahadhari: ISIL wanapanga kuishambulia Tanzania

    Inaonyesha hata husomi na kusikia vyombo vya habar na ktk mitandao,jitahidi fuatilia taarifa za al jazra na hata ktk magazet na mitandaoni utajua tu.
  9. T

    Tahadhari: ISIL wanapanga kuishambulia Tanzania

    Nmesikia ndg zetu Al shaabab mnataka kuja kutupiga hapa Tanzania.Jamani mbona mnataka kutuonea hivi,sisi tumewakosea nini lakn hadi mje mtupige?, jaman sisi nyinyi hatuwawezi na tunajua mtatupiga tu,hebu jamani tunaomba mtuache kwan sisi hatujawakosea kitu.Lakn mnawezaje kumpiga mtu ambae hata...
  10. T

    Nitakuchagua Edward Lowassa kama utafanya yafuatayo

    Naweza kukupa kura yangu mh Edward Lowassa kama utanijibu mambo makubwa mawili ambayo mimi na wakaz wa Kongwa tumefanya tukuchukie, kumbka CCM wanategemea kura zaidi Kongwa lakini kama watakupitisha wewe bila kujibu mambo haya muhimu kupitia mkutano mkubwa ambao utarusha live basi kura zaidi ya...
  11. T

    Nyaraka muhimu za skendo ya Wizara ya Ujenzi

    POMBE MAGUFULI hata wewe tuliekuita JEMBE kwel CCM ni uozo tupu.
  12. T

    Yanayojiri bungeni Dodoma: Jumanne tarehe 17 Machi, 2015

    "Mtu mpumbavu unaweza kumjua kwa maneno yake tu,lakn mtu mwerevu pia waweza kumjua kwa kauli yake na uchambuz wa mambo,muwe waelewa ndg zang mbona mnaanza kutukanana na kuacha msingi wa mtoa mada?",Mingoi,Deshmo,lwesye mnatoa picha gani jaman,kwann msijiheshimu?, mnapewa nn na hawo...
  13. T

    kuna kila dalili uchaguzi mkuu kuhairishwa, kufanyika desember au mwakani

    Sitaki tena kuongozwa na kikwete .
  14. T

    Mbowe atangaza Vita na Zitto katika Vikao vya ndani vya Chama

    Nitakupenda Chadema milele,zitto kitu gani bwana fukuza hatuhitaj wanafki na watoa siri wa chama.
Back
Top Bottom