Naweza kukupa kura yangu mh Edward Lowassa kama utanijibu mambo makubwa mawili ambayo mimi na wakaz wa Kongwa tumefanya tukuchukie, kumbka CCM wanategemea kura zaidi Kongwa lakini kama watakupitisha wewe bila kujibu mambo haya muhimu kupitia mkutano mkubwa ambao utarusha live basi kura zaidi ya 95% utakosa.Mambo haya ni;
1.Tunataka utuambie kwanini uliamua kutuibia fedha zetu za Sakata la Richmond? Na kama kuna mtu ulishirikiana nae (kuna tetes za dk kuepo ktk hili) tunataka utangazie umma,yaan mm nlikuwa natumwa na mh......
2.Kuna mambo mtaani hasa hapa Dodoma hususan Kongwa kwamba wewe ndo chanzo cha ugonvi kati ya Wafugaji (wamasai) na wakulima hapo Kiteto.Uovu wanaofanyiwa wakulima,kiburi cha viongoz wa wilaya ya Kiteto vyote vinasababishwa na wew,hvyo watu hawatokupa kura kwan wanahisi wew ukipita basi masai watatawala kiteto na kuua watu kama kuku kwan huwa wanachinja tuu.Hivyo tueleze msimamo wako ktk hili,mwisho tuambie kwann kila sehemu yenye migogoro ya wakulima na wafugaji ukiangalia ni Wamasai tu ndo utawakuta na si wafugaji wengine kama Wakaguru,Wasukuma nk huoni kuwa kabila lako limekushinda kuwaongoza vyema sasa sisi makabila mengi hivi utatuweza?
1.Tunataka utuambie kwanini uliamua kutuibia fedha zetu za Sakata la Richmond? Na kama kuna mtu ulishirikiana nae (kuna tetes za dk kuepo ktk hili) tunataka utangazie umma,yaan mm nlikuwa natumwa na mh......
2.Kuna mambo mtaani hasa hapa Dodoma hususan Kongwa kwamba wewe ndo chanzo cha ugonvi kati ya Wafugaji (wamasai) na wakulima hapo Kiteto.Uovu wanaofanyiwa wakulima,kiburi cha viongoz wa wilaya ya Kiteto vyote vinasababishwa na wew,hvyo watu hawatokupa kura kwan wanahisi wew ukipita basi masai watatawala kiteto na kuua watu kama kuku kwan huwa wanachinja tuu.Hivyo tueleze msimamo wako ktk hili,mwisho tuambie kwann kila sehemu yenye migogoro ya wakulima na wafugaji ukiangalia ni Wamasai tu ndo utawakuta na si wafugaji wengine kama Wakaguru,Wasukuma nk huoni kuwa kabila lako limekushinda kuwaongoza vyema sasa sisi makabila mengi hivi utatuweza?