TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Baada ya ule mchezo wa CHADEMA wa kumhamisha Juma Duni Haji kutoka CUF kwenda kwao ili awe mgombea mwenza wa Lowassa ambaye naye amejinunua kwenda CHADEMA ili agombee urais mambo sasa yamehamia Majimboni ambapo sasa CHADEMA wanacheza mchezo uleule wa kuwashawishi wanachama wao wajifanye kuhamia CUF ili waombe ridhaa ya kugombea UBUNGE katika Majimbo ambayo CUF wamesimamisha wagombea kwa mujibu wa makubaliano ya UKAWA.
Sintofahamu ndani ya jimbo la Tabora Mjini ni kubwa baada ya Wanachama wa CUF jimboni humo kuandamana kupinga Mgombea wao kuenguliwa kugombea Ubunge ili kumpisha mwanachama wa CHADEMA aliyehamia CUF kwa madai kuwa ndiye anayekubalika.
Chanzo: Taarifa ya habari leo saa 12 asubuhi
Sintofahamu ndani ya jimbo la Tabora Mjini ni kubwa baada ya Wanachama wa CUF jimboni humo kuandamana kupinga Mgombea wao kuenguliwa kugombea Ubunge ili kumpisha mwanachama wa CHADEMA aliyehamia CUF kwa madai kuwa ndiye anayekubalika.
Chanzo: Taarifa ya habari leo saa 12 asubuhi