Recent content by tutafikatu

  1. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Kafungue uone kama hata mke wako atakuja.
  2. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania HOJA Taratibu za kupata Samia Scholarship zipoje? Iweje nipate division ya 1.5 nikose na wenye 1.9 wapate?

    Bro utaumia tu ni scholarship tu hiyo. Haki yako wanatoa wazazi.
  3. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Kanisa halikupigania kabisa uhuru wa Tanganyika?

    Umepimaje huo mchango?
  4. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Siku ya mashujaa: Bi. Khadija Mkomanile aliyebatizwa na kupewa jina la Jacinta kisha akanyongwa

    Mzee udini umekujaa kwelikweli. Reference zenyewe unatupeleka kwenye maandiko yenu. Hutupeleki sehemu neutral za zamani. Siku hizi mnabadirisha historia hadi Wikipedia.
  5. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyeua Baba Zake, alikuwa anatuma Pesa akiwa South Africa Wakazitafuna

    Inawezekana kuna ukweli kwa sehemu, lakini ukiangalia hii habari ya Mwananchi, dogo haoneshi kama alikuwa na pesa ya kutuma toka Afrika ya Kusini. Alikuwa lofa tu. Simulizi ya familia "Nilijikaza moyo kushuhudia ndugu zangu wakifukuliwa, lakini nilichokiona siwezi kukisahau maishani. Walikuwa...
  6. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Kutolewa Ureno WC26, Mambo haya Matatu Yamewaponza

    Wametolewa kwa kumbeba Ronaldo. Kocha dhaifu sana yule.
  7. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Utapeli kupitia laini za TTCL umeporomosha imani ya wateja kwa TTCL

    TTCL wanapaswa kuchukua hatua madhubuti dhidi ya watu wanaotumia laini za mtandao wao kufanya utapeli. Tatizo si hasara za kifedha pekee, bali pia kupungua kwa imani ya wateja. Leo watu wengi wakiona simu kutoka kwenye laini za TTCL husita kupokea au hupuuza maelekezo muhimu wakidhani ni...
  8. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania HOJA Usimamizi wa Gereji Uimarishwe

    Inasikitisha kuona gereji za magari zikifunguliwa holela kwenye maeneo ya makazi. Toka Dar, Arusha, Mwanza, hadi Mbeya. Zinavunja kuta za majirani, zinatupa mafuta na taka ovyo, zinaleta kelele mbalimbali, zinaziba mitaro kama shimo la kutengenezea magari, zinaegesha magari barabarani na...
  9. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu"" mbaya!

    Kijijini kabisa, nilisingiziwa na ndugu wa karibu ati nilikuwa nimedandia loli la kubeba mchanga, nikapewa kipigo kitakatifu, wakati hata gari sikuwahi liona pale kijijini.
  10. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Wazabuni wanalalamika kutolipwa; tatizo ni bajeti au mfumo wa manunuzi?

    Kwa nini taasisi na mashirika ya serikali hutangaza tenders na kuingia mikataba ya manunuzi wakati fedha za kulipia bidhaa au huduma husika hazipo au cash flow yake haina uhakika? Mwisho wa siku suppliers wanapeleka bidhaa au kutoa huduma, lakini malipo yanachelewa kwa muda mrefu. Je, hali hii...
  11. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Katiba Mpya ingekuwa Jibu, Kenya wasingelia tena na ufisadi, tatizo ni watu

    Bora tufute na sheria zote maana tatizo ni watu
  12. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania RESOLVED DOKEZO Daktari amempiga hadi kuzirai Muuguzi mwenzetu, hakuna hatua zilizochukuliwa. Waziri wa Afya, TAMISEMI tunaomba msaada

    Hilo si kosa la jinai? Mbona mnatafuta msaada kusiko? Au ndio mambo ya wauguzi.
  13. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Hiki kizazi kinachofanya siasa miaka ya sasa bado kina fikra za miaka ya 70's zenye roho ya u Swahili Swahili mostly hata ibada hawafanyi

    Hii nchi yetu sote. Waacheni CHADEMA nao wale keki ya nchi.
Back
Top Bottom