Recent content by tutafikatu

  1. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Shida wengi wenu mnadhani maisha ni kuwa na pesa tu. Hapo ndipo tatizo linapoanza. Wengine wanataka pesa kidogo, halafu WAISHI MAISHA WANAYOPENDA.
  2. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Mufindi: Akamatwa akijaza pombe bandia kwenye Chupa

    Kazi nzuri sana
  3. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Kati ya kozi mbili zifuatazo ni kozi ipi inalipa zaidi na ipo Marketable zaidi na yenye malupu lupu

    Unafikiria kuajiriwa tu. Kuajiriwa hakulipi, hata ukiongezewa mshahara mkubwa utaongezewa laki moja.
  4. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Je, wajua Tanzania ina Makamu wawili wa Rais? Mmoja ni halali na mwingine ni batilifu hadi Septemba 4 ndipo anakuwa halali. Rais na VP Sio Wabunge!

    Ngoja tumalizie mhula wake wa kwanza. Halafu tuingie wa pili. 😂
  5. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Natoa ushauri wa biashara na namna ya kukuza biashara

    Kama tajiri hatoi ushauri, inamaana na wewe ni maskini mwenzetu, ila unataka utupe ishauri maskini wenzako.
  6. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Natoa ushauri wa biashara na namna ya kukuza biashara

    Wewe unafanya biashara kwa kutoa ushauri yaani ushauri wa vitabuni? Au unafanya biashara nyingine tunaweza kukuiga?
  7. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Kafungue uone kama hata mke wako atakuja.
  8. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania HOJA Taratibu za kupata Samia Scholarship zipoje? Iweje nipate division ya 1.5 nikose na wenye 1.9 wapate?

    Bro utaumia tu ni scholarship tu hiyo. Haki yako wanatoa wazazi.
  9. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Kanisa halikupigania kabisa uhuru wa Tanganyika?

    Umepimaje huo mchango?
  10. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Siku ya mashujaa: Bi. Khadija Mkomanile aliyebatizwa na kupewa jina la Jacinta kisha akanyongwa

    Mzee udini umekujaa kwelikweli. Reference zenyewe unatupeleka kwenye maandiko yenu. Hutupeleki sehemu neutral za zamani. Siku hizi mnabadirisha historia hadi Wikipedia.
  11. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aliyeua Baba Zake, alikuwa anatuma Pesa akiwa South Africa Wakazitafuna

    Inawezekana kuna ukweli kwa sehemu, lakini ukiangalia hii habari ya Mwananchi, dogo haoneshi kama alikuwa na pesa ya kutuma toka Afrika ya Kusini. Alikuwa lofa tu. Simulizi ya familia "Nilijikaza moyo kushuhudia ndugu zangu wakifukuliwa, lakini nilichokiona siwezi kukisahau maishani. Walikuwa...
  12. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Kutolewa Ureno WC26, Mambo haya Matatu Yamewaponza

    Wametolewa kwa kumbeba Ronaldo. Kocha dhaifu sana yule.
  13. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania Utapeli kupitia laini za TTCL umeporomosha imani ya wateja kwa TTCL

    TTCL wanapaswa kuchukua hatua madhubuti dhidi ya watu wanaotumia laini za mtandao wao kufanya utapeli. Tatizo si hasara za kifedha pekee, bali pia kupungua kwa imani ya wateja. Leo watu wengi wakiona simu kutoka kwenye laini za TTCL husita kupokea au hupuuza maelekezo muhimu wakidhani ni...
  14. tutafikatu

    JamiiForums Tanzania HOJA Usimamizi wa Gereji Uimarishwe

    Inasikitisha kuona gereji za magari zikifunguliwa holela kwenye maeneo ya makazi. Toka Dar, Arusha, Mwanza, hadi Mbeya. Zinavunja kuta za majirani, zinatupa mafuta na taka ovyo, zinaleta kelele mbalimbali, zinaziba mitaro kama shimo la kutengenezea magari, zinaegesha magari barabarani na...
Back
Top Bottom