Recent content by tutafikatu

  1. tutafikatu

    Mufti: Mwezi haujaandama, Machi 20 tunakamilisha Ramadhani 30

    Siku zote huwa mbele ya tarehe wanayotegemea
  2. tutafikatu

    Mojtaba Khamenei atoa msimamo mkali kuhusu vita kwa njia ya maandishi

    Hata hotuba anasomewa. Atoe kichwa aone.
  3. tutafikatu

    TANZIA Mkurugenzi wa uendeshaji wa EFM na TVE Dennis Ssebo Afariki Dunia

    Kama mazoezi yanasaidia. Mbona wana michezo hawana maisha marefu.
  4. tutafikatu

    Ingekuwaje kama Iran ndiyo imeanzisha vita kwa kuwaua viongozi wa Israel na kupiga mabomu shule ya chekechea?

    Death to America, Death to Israel. Tuvumilie tu Iran itatoa kipigo kwa Marekani na Israili.
  5. tutafikatu

    IRAN watangaza kuanza kutumia MAKOMBORA mapya kabisa

    Kwanini watangaze. Wapige tu.
  6. tutafikatu

    Hivi kwanini Iran huwa hailichukulii kwa uzito suala la usalama wa viongozi wake?

    Bro unadhani Iran ni Marekani au Israel? Ni kama mbwa anayebweka sana. Utajiumiza tu.
  7. tutafikatu

    Wachina wataziponza Zambia na Zimbabwe. Ni kosa kubwa sana kwa hizi nchi 2 kukataa msaada kutoka kwa Marekani

    Ngoja tuone. Maskini siku zote tuko uchi. Sasa wanaficha nini.
  8. tutafikatu

    Bill Gates akiri kuisaliti ndoa yake na Melinda pamoja na kushirikiana na Jeffrey Epstein. Aomba radhi wafanyakazi wake

    Issue ya Bill Gates, unamwongelea Trump. Trump kafanya nini? Waswahili bwana.
  9. tutafikatu

    EPOXY FLOOR TECHNOLOGY: Kwa Nini Inakuwa Trend Kubwa Kwenye Ujenzi wa Kisasa?

    Ina trend sana sasa? Mbona ipo kitambo kiongozi? Labda kama ina trend Tanzania.
  10. tutafikatu

    Tukiwaambia Hizo Simu Zenu za 1-5m ni Mitajji Mnatuita Motivational Speakers!

    Wote wakifanya kama unavyofanya nani atakuwa mteja wa mwingine.
  11. tutafikatu

    Simba SC inatia hasira na fedhea sanaa

    Tunajiendesha kwa mapato ya ndani. Kuwa mvumilivu.
Back
Top Bottom