OTHMAN BEY
Member
- Jun 20, 2026
- 74
- 123
Katika maisha kuna kumbukumbu nzuru na mbaya ila natataka ushiriki kumbukumbu mbaya au nzuri binafsi
1 Nikiwaga mtoto years 5+ au zaidi nakumbuka tukio la shangazi yangu kunisingizia nimemchungulia akiwa anaoga wakati sio kweli nilikuwa napita tu karibu na choo & ua nilijitahidi kujitetea lkn wapi. Nilipokea kipigo cha maana mpaka mkono wangu wa kulia ukapinda na kuvimba ikabidi nile peke yangu na kushoto
Tukio la pili
Niliwahi kusingiziwa nimeiba elf 50,000 wakati sio mimi, nilijitahidi sana kujitetea lkn mama aliamini ni mimi nimeiiba, nilipigwa sana wakinambia usiposema nitakuua mana hatutaki mtoto mdokozi wa vitu. Walinipiga mpaka fimbo nne tofauti zikaishia mwilini mwangu maana walikuwa wanapokezana kunipiga ikabidi niseme ni mimi japo sikuwa mimi
Share na wewe tukio lolote baya uililosingiziwa unalokumbuka kipindi ukiwa mtoto.
1 Nikiwaga mtoto years 5+ au zaidi nakumbuka tukio la shangazi yangu kunisingizia nimemchungulia akiwa anaoga wakati sio kweli nilikuwa napita tu karibu na choo & ua nilijitahidi kujitetea lkn wapi. Nilipokea kipigo cha maana mpaka mkono wangu wa kulia ukapinda na kuvimba ikabidi nile peke yangu na kushoto
Tukio la pili
Niliwahi kusingiziwa nimeiba elf 50,000 wakati sio mimi, nilijitahidi sana kujitetea lkn mama aliamini ni mimi nimeiiba, nilipigwa sana wakinambia usiposema nitakuua mana hatutaki mtoto mdokozi wa vitu. Walinipiga mpaka fimbo nne tofauti zikaishia mwilini mwangu maana walikuwa wanapokezana kunipiga ikabidi niseme ni mimi japo sikuwa mimi
Share na wewe tukio lolote baya uililosingiziwa unalokumbuka kipindi ukiwa mtoto.