acha uwendawazimu simba kushinda ndiko kunafanya club zingine zipambane kumkimbia myama na kwa kupitia kupambana kwao huko ndiko tunaenjoy ladha ya mpira na ligi inakuwa tamu sio mtu mnapishana point 15 mpaka inafikia wakati mwingine kocha anaamua kumpanga beki kuwa mshambuliaji au winga
kuna mijamaa wao magoli yao ni ya vichwa tuuu kuna lijamaa linaita chapamoteng dah nomo akikutana mwamnyeto au dikson job wala haruki atakuwa anauelekeza mpira anakotaka
swa
SWALI ZURI SANA.
Kwanza kabisa AZAM Watafute kocha mwenye profile kubwa sana kuliko AZAM na pia kocha mzuri (binafsi wachukue makocha kutoka nchi hizi mbili German na France. Sababu ni kwamba nimegundua makocha wa hizo nchi mbili wanawajua sana kuwatumia wachezaji wa kiafrica vizuri na...
Habari naomba kuuliza changamoto za uuzaji wa cement kwa rejareja na faida zake na hasara zake. Pia naomba kwa mwenye uzoefu chumba kimoja cha futi kumi kwa kumi kinachukua mifuko mingapi ya cement (yaani kina uwezo wa kupokea mifuko mingapi kwa wakati mmoja) ni cement ipi yenye faida nzuri na...
Habari wadau wa ufugaji,
Nina kuku wangu ninayempenda sana amepatwa na kaugionjwa bado sijakaelewa. Ugonjwa wenyewe ni kukimbia kimbia na kuzungua na kukosa balance na kuanguka akisimama.
Hapo ni kukimbia tena yaani kuna saa unaibuka na kuna saa anakuwa kama anataka kuwa sawa ila tatizo hawi...
pole sana swala la imani ni la kuvumiliana tokea lini mtu akafa kwa kelele. jenga mazingira ya kufanya hizo kelele kuwa burudani yako ili siku zako sisogee achana kabisa na maswla ya dini ya mwenzako au kuingilia maswala ya dini. wakati mwingine anaona adhana kama ni kero kuna mwingine anasema...
Habari,
Nauliza group iliyopo timu yetu ya Tanzania mshindi atakayeongoza ndiye anaenda kombe la Dunia moja kwa moja? Au kuna mchakato mwingine baada ya hapo? (DR Congo, Madagascar Benin na Tanzania)
Kama ndiyo yalivyo hivyo naona kama kuna kabahati hivi kwenye group letu au jinsi group...
Ni kweli kabisa sasa tumeshindwa kujua idadi ya watu ambao wako nyuma yake hivyo ilipaswa wavunje miguu huku wakienda naye kwa umakini ili kupata data Muhimi pengine ile ilikuwa chambo tuu kupima nguvu ya maaskari wetu ikoje na tiyari wameshaijua
duuu sipati picha huyo wa bajaji speed yake hapo najaribu kujiuliza wenye pikipiki ilikuwaje je miguu ina speed kuliko pikipiki? chezea kitu cha chuma weweeee? taarifa hao wa pikipiki wameonekanika kimasichana
Nashukuru nilipata mbagala na wala sikusumbuka mwaka jana niliulizia nikaambiwa hawaijui nami nikakata tamaa ila jumamosi niliipata na kuwapa kuku asanteni kwa wale mliodhubutu kunisaidia
watu wote kimya hakuna wa kunisaidia aliyeweka No anataka atumiwe tu hela yeye haelewi somo lingine tuma hela utaupata mzigo wako. mimi mpe dereva tukabidhiane ana kwa ana hataki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.