swa
SWALI ZURI SANA.
Kwanza kabisa AZAM Watafute kocha mwenye profile kubwa sana kuliko AZAM na pia kocha mzuri (binafsi wachukue makocha kutoka nchi hizi mbili German na France. Sababu ni kwamba nimegundua makocha wa hizo nchi mbili wanawajua sana kuwatumia wachezaji wa kiafrica vizuri na mbinu za kiafrica wanazijua vizuri pili kocha aje kable ya msimu kuisha yaani zimebaki match 10 basi kocha awe ameshakuja ili aangalie wachezaji anaowataka hata kama wataingia hasara aje akae mwaka mzima ili kwanza asome wachezaji wote wa kitanzania na uchezaji wao huku akifuatilia kwa karibu soka la nchi zingine. kingine fungu la usajili apewe yeye na yeye ndiye ataamua mchezaji wa kumsajili hata kama atasema fukuza 10 leta 10 msikilizeni halafu mtakuja kuniambia
Timu za simba na yanga mtazamo wangu simepewa Muda wa kutosha na zimethibitisha zaidi ya majungu, marktime za kisoka na Maneno maneno hazitatufikisha popote...
Nilipoiona AZAM na bosi tajiri yuko nyuma yake nikasema afadhali angalau tumepata team ambayo itakwenda hadi club bingwa duniani icheze na wakina Madrid au Barca.
Lakini kila nikiichungulia naona haina uwezo wa kuvuka siasa za simba na Yanga.
Mimi sio mpenzi wa soka ila ni mfuatiliaji wa karibu kila kitu kinachoendelea nchini.
Unadhani nini kikifanyika team ya tajiri huyu iwe angalau kama TP mazembe.
SWALI ZURI SANA.
Kwanza kabisa AZAM Watafute kocha mwenye profile kubwa sana kuliko AZAM na pia kocha mzuri (binafsi wachukue makocha kutoka nchi hizi mbili German na France. Sababu ni kwamba nimegundua makocha wa hizo nchi mbili wanawajua sana kuwatumia wachezaji wa kiafrica vizuri na mbinu za kiafrica wanazijua vizuri pili kocha aje kable ya msimu kuisha yaani zimebaki match 10 basi kocha awe ameshakuja ili aangalie wachezaji anaowataka hata kama wataingia hasara aje akae mwaka mzima ili kwanza asome wachezaji wote wa kitanzania na uchezaji wao huku akifuatilia kwa karibu soka la nchi zingine. kingine fungu la usajili apewe yeye na yeye ndiye ataamua mchezaji wa kumsajili hata kama atasema fukuza 10 leta 10 msikilizeni halafu mtakuja kuniambia