45000 Kwan mwaka Buena waache tyu haina maana awamu ijayo wanafunzi tuombe kupiga kura tukiwa mahali popote waisome namba iliyo mlima Kilimanjaro na wenyewe na tuwe name umoja tusisahau ushirikiano maana tutakula mikate mpaka tumboni patajaa sponji za mikate na sisi wanna udom 45000 kwa mwaka...
Uongozi wa nchi wapeni nafas VIJANA wetu wasome acheni siasa kwenye elimu eti Mara GPA 3. 5 Mara 3. 9, mnakera Sana je walio na 2. 7-9 mnamikakati gani nao au ndo kutuandalia waharifu siku za mbeleni na hzo pia ni namba tena ni daraja moja na 3. 0 zote ni lower second. Mnaumiza VIJANA wetu bhana
1. Kuongezeka kwa vibaka na wizi mtaani.
2. Uchumi kuwa palepale.
Maana kheri kuwa na wasomi wengi hata kama hawana kazi watajiajiri na kuweza kulipa kakipato kama kodi kwa serikali.
3. Mawazo mabaya kwa vijana
Yatasababisha vurugu kwa kujiunga ktk magroup mabaya na hatarishi ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.