Shule mnaondoka weupe afu mnakuja kuhubiri ukilaza wenu humu, rejea shule walau hata civics ya form two "forms of government " ujifunze nini maana ya dictatorship.
Hahahahaa...hawa jamaa kweli wamefilisika kisiasa, Tanzania is a sovereign state na haipangiwi kwa vyobyote na hao mabwana zao namna ya kuendesha mambo yake.
Kama ni dudu basi ni mende kabisa sio tu hana akili bali ananuka pia, kuambiwa ukweli ni vitisho? hivi ni nani anayeweza kuvumilia uvunjwaji huu wa sheria kwa utaratibu wa kulindana kwa fake ids? haufagilii ujinga ungekuwa ushakemea, useng.e ni wako unayeoneka wazi kummis huyo basha wako...
Nyie siku zenu zinahesabika, huwezi lalamika kila siku unaonewa wakati huohuo kwako kuonea wengine iwe haki, mkumbuke jinai haina muda kwa hiyo kujificha nyuma ya keyboard na kuinsult government officials eti kwa sababu huwapendi tu na uone ni haki yako usidhani utakuwa salama wakati wote, ni...
Upuuzi mtupu inakera kweli, mtu kama huyo unapoteza muda eti kumwomba Mungu unasahau kama ni Mungu huyohuyo unamwomba kila siku aibariki na kuilinda Tanzania dhidi ya maadui, badala ya kupeleka viongozi wa dini kumwongoza sala ya toba wanapeleka tu matapeli na maopportunists wenzao tu, hovyo kweli.
Mika.haba mingine bhana, kwani lazima upendacho wewe na yeye apende? naanzaje kumpa pole mtu nisiyependa upuuzi, na uhayawani wake uexist kama sio unafki? na siku za huu mtandao mnazifanya zihesabike kwa mambo ya kishenzi kama haya..kutompenda mtu haimaanishi umemuua au umeatempt kumuua...
Binafsi sina tatizo sana na utendaji wa Mhe. Rais, naiona dhamira yake ya dhati kabisa katika kulipeleka Taifa mbele, bado ninaimani kubwa sana na JPM kiutendaji.
Yako mengi Mhe. Rais anayofanya na kutufanya wengine tubaki midomo wazi na hivyo kushindwa kuelewa whether ni yeye au wasaidizi wake...
Wakili wa kujitegemea anaweza mkuu, just unaomba kibari kwa DPP, isije ikawa ni mchezo fulani kumbe, wanasheria wanalijua hili vizuri, isije ikawa ni...hii Mange kasema naanza kuiogopa sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.