Recent content by tundu007

  1. tundu007

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Kaumbwa mdudu mwenye umbo kama la nzi lakini anawaka taaa..!binaadam hatumii betri...! sayansi haiwezi na haitokuja kuyajibu haya.mola awasameh hawa hawajui walinenalo. Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  2. tundu007

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Mfano quran ukiichambua elimu zote zimo ndani ila kwenye kuchanganua ndo uwezo kapewa mwengine.na aliepewa uwezo wa kuchanganua nalo linaji'mwambafai'[emoji3] Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  3. tundu007

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Soma kwanza. Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  4. tundu007

    Labda ni dini zetu ndio zinazotuchanganya na kupotosha kuhusu Mungu

    Soma kwanza. Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  5. tundu007

    Labda ni dini zetu ndio zinazotuchanganya na kupotosha kuhusu Mungu

    Soma kwanza. Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  6. tundu007

    Labda ni dini zetu ndio zinazotuchanganya na kupotosha kuhusu Mungu

    Sio uislam..! Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  7. tundu007

    Mchele wa msaada ugawiwe mashuleni kama ilivyodhamiriwa!

    Kwani hapo ulipo unajiona mzima kutukana viongozi wako??akili zimedumaa hazifikiri ipasavyo[emoji3] Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  8. tundu007

    Mchele wa msaada ugawiwe mashuleni kama ilivyodhamiriwa!

    Tik tok wameizuia kwa khofu ya jamii zao kuharibikiwa.na cc tunazuia kwasababu zetu.walete pesa mchele upo hapa na maharage wakutosha. Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  9. tundu007

    Najuta kuingalia video ya Joshua

    Sio palesina ni PALESTINA.chuki hazijawahi kua suluhu.r.i.p. Sent from my SM-G985F using JamiiForums mobile app
  10. tundu007

    Maswali magumu kwa atheist

    Ndo maana ulipewa akili uweze kuchanganua mabaya na mazury...!unaweza kuzini na mama yako?kama mnyama asiekua na akili???basi kama huwezi hiyo ndo uwezo wa mola kukupa kuweza kujua baya na zury...!kupewa mtihani ni kukuthibitishia ukubwa na neema ya kuweza kuitumia...! na kuijua thamani ya akili...
  11. tundu007

    Maswali magumu kwa atheist

    Kutoka kua kwa maji maji ya manii na kua kipande cha nyama haikutosha kuthibitisha ukubwa wake mola muumba mbingu na ardhi??basi hautosadiqi hata ikawaje ....!ikiwa upepo unakupepea bila yakuuona na maji pasinakua na rangi...!ukiona vyaelea ujue vimeundwa...!
  12. tundu007

    Waislam kwanini mnaangalia mwandamo wa mwezi?

    Yalikuepo kabla ya uzao wa babu zako ....!na itaendelea kuwepo mpaka vizazi vijavyo...!ww ishi viji'miaka vyako vichache ukufwe zako.
  13. tundu007

    Kinachotokea Afrika Kusini na Kenya inaweza kuwa sawa na Arab Spring kwa nyingine za Afrika

    Tafuta pesa ndugu...!hakuna maisha rahisi dunia nzima...!utanishukuru.
  14. tundu007

    Waafrika Jitafakarini Katika Hiyo Miungu Mnayoiabudu

    Changanya konyagi na jhon walker pamoja.then kunywa utaona kijacho kitakachotokea.
Back
Top Bottom