Recent content by tunda

  1. T

    Lowassa mikoa 26, mikutano 104, Magufuli mikoa 20, mikutano 180, Yupi dhaifu?

    Sasa imebaki CHADEMA - MAHABA tu. kwani hakuna la maana tena analozungumza LOWASA!
  2. T

    Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

    Ukimgusa Mengi, umegusa wachaga wote.
  3. T

    Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

    I wish one day, ijulikane ni wazawa wepi wanafanya biashara kubwa na TANESCO. Kati yao ni nani anapata the lion share. Mengi hakosi. Tatizo la Muhongo ni kusema ukweli kwa maneno ya ukweli mtupu. We are poor to invest on oil and gas exploration, it is simple and clear. Do you know Muhongo is not...
  4. T

    Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

    Wengi katika Bunge walikuwa wanacheza drama! Watu waunganisha story kama za movie tangu 1995 had sasa in one hour. Nani msafi? Zito> Mbowe> Olesendika aliye taka kuua Meru.. akapona na hela ya Mengi!!! Aiibu sana. It is great shame...nani anaiuzia umeme TANESCO kwa bei nafuaa?? Kama sio IPTL...
  5. T

    Dr. Reginald Mengi vs Prof. Sospeter Muhongo: Nani ni Dalali?

    Mengi atatumia kila mbinu kumuondoa madarakani mtu yeyote, kulinda maslahi yake yaliyojificha kwenye dini na misaada ya kejeri. Atatumia hela kwa Olesendika, Sita n.k kutimiza haja zake. Shame.
  6. T

    Escrow ni zaidi ya uijuavyo: Wabunge wagawanyika

    Na Mengi naye yumo katika kuliandaa bomu hili tena?! Am not surprised.
  7. T

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    PONDA...... yupo Theater sasa ya MOI.
  8. T

    Nimeamua kutembea na binti wa Kazi, sina jinsi

    Yaani umekosea kupita kiasi. Mkeo ni Mkeo tu hawezi kuwa re-placed na mwanamke mwingine - a housegirl is just a woman. Ongea naye Mkeo tu... anashida huyo, ikiwa tu ni mwaminivu kwenye ndoa yenu. Kutoka nje kwa sababu hupati ndani ni ubinafsi na udhaifu tu! Utateseka sana kisaikologia, mbaya...
  9. T

    Ushauri mchumba wangu anatembea na lecturer wake

    Inzi hutua penye kidonda:) Pole ulifikiri umefika.. mwache mwenzio ajaribu bahati yake. Ni mapenzi ya muda. tafuta mwingine kijana.
  10. T

    Ushauri mchumba wangu anatembea na lecturer wake

    Inzi hutua penye kidonda:) Pole ulifikiri umefika.. mwache mwenzio ajaribu bahati yake. Ni mapenzi ya muda. tafuta mwingine kijana.
  11. T

    Ikulu yamjibu Dr. Slaa juu ya Rais Kikwete na Udini

    I do not expect this from the office of the President! Show you belong to another 'high' level and sio maneno ya udaku bwana nyie vipi??
  12. T

    Tanzania hakuna Proffessor wala Chuo Kikuu ( Wote wasanii tu na Ujanja ujanja tu)...

    Hey Pole, wewe ni bahati mbaya! Ujafanya uchambuzi wako kwa makini. Kwenye hizo data watanzania wamefanya mengi sana. Uliza uambiwe?
  13. T

    Hotuba ya Uhuru Shule kwa Viongozi wa Bongo

    Unatakiwa kujua kuwa..Kenyata anaanza na budget ya bilioni 6 Kenyan shillings..... zilizowekwa ka ajili ya marudio ya uchaguzi, kasema ndio atatatumia. Sumsung wamekubali kujenga kiwanda for this ambitious plan..... he can deliver... wait and see
  14. T

    Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

    Pole sana. Lakini kabla sijashauri nataka kujua ni kila siku? Je, anakojoa tena baada ya kumwamsha. Je, ni muda ule ule au unabadilika?
  15. T

    JWTZ kupiga doria barabarani: Mwamunyange ameenda mbali mno...

    Inasikitisha sana kusoma maoni kama haya! Unajua kungetokea nini kama wanajeshi wasinge onekana mitaani. Kama kuna watanzania ambao wanachoma makanisa, kuchinja polisi, kuharibu mali za watu, kutishia usalama wa nchi na kujaribu kuvamia Ikulu basi serikali ina haki ya kutumumia nguvu zote...
Back
Top Bottom