Habari wakuu,kama kichwa kinavojieleza,Pc yangu HP hiyo pichani haiwaki,tatizo lilianza niliiacha kwenye ikiwa ON huku nimechomeka adapter (betri haukuwepo) na niliporud badae imezima na nikiwasha KAMWANGA KWA KWENYE POWER kanawaka kwa mbali lakin haifanyi chochote...Msaada pliz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.