tunage
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 252
- 168
Habari wakuu,kama kichwa kinavojieleza,Pc yangu HP hiyo pichani haiwaki,tatizo lilianza niliiacha kwenye ikiwa ON huku nimechomeka adapter (betri haukuwepo) na niliporud badae imezima na nikiwasha KAMWANGA KWA KWENYE POWER kanawaka kwa mbali lakin haifanyi chochote...Msaada pliz