Wana-Fb pole na kazi.
Nimeamua kuja na suala la fedha zilizowahi kutajwa na Mh. Zitto kuwa zimefichwa kwenye benki za SWISSI, na kuwa alikuwa tayari kusaidiana na kamati yoyote ili kuweza kurudisha pesa hizo za WALAKA-HOi hapa Tanzania, "ZOEZI au JITIHADA zake ziliishia wapi?" Juhudi zifanywe...
Jamani, inawezekanaje kuilipa kampuni pesa zote za mkataba? Nijuavyo malipo hufanywa kufuatana na jinsi kazi inavyokuwa inafanywa. Ilitakiwa walipwe kwa awamu, kulingana na kazi iliyokusudiwa ilivyokuwa inafanyika. Kwa hili, ni vema mh. akakaa pembeni ili uchunguzi ufanyike, kwani akiwa pale...
Pale JHPIEGO kuna kikundi cha wafanyakazi kwenye idara ya rasirimali-watu wameunda kikundi cha watu nchi nzima, hasa maeneo shirika linakofanya kazi au kutegemea kufanyakazi, ili kuwarubuni watu wanaotafuata kazi kwa nafasi zinazotangazwa na kuwarubuni kutoa sh. 500,000/- ili waweze ajiriwa...
Ndugu, usichanganye haya mambo, Rais wa Tanzania ni Mh. magufuli, na ndiye aliyezungumzia mishahara y wafanyakazi wake, sasa hapo Mh. mbowe anaingiaje? Hii siyo siasa...tafuta lingine uesme tukujibu.
Pale JHPIEGO kuna kikundi cha wafanyakazi kwenye idara ya rasirimali-watu wameunda kikundi cha watu nchi nzima, hasa maeneo shirika linakofanya kazi au kutegemea kufanyakazi, ili kuwarubuni watu wanaotafuata kazi kwa nafasi zinazotangazwa na kuwarubuni kutoa sh. 500,000/- ili waweze ajiriwa...
Wakati umefika kurudisha kipembele cha kila mwekezaji, hasa wanaochimba madini yetu, kuhakikisha wanabakiza asilimia 60 ya mapato yote hapa Tanzania, na wao wanapeleka 40% huko nje. Yaani pesa za kigeni asilimia 60 zibaki nchini kwenye akaunti ya hazina ili Tanzania iweze ku accumulate pesa za...
Tezidume si ugonjwa, bali ni kiungo, ila kama chemchembe za damu zilizo ndani ya tezidume zinapoasi na kufuata mfumo usiyo rasmi basi husababisha tezidume kuanza kuadhirika na ugonjwa wa saratani..hivyo kupelekea ugonjwa huo kuitwa saratani ya tezidume.
Tezidume ni kiungo cha uzazi cha mwanaume kilicho chini ya kibofu cha mkono, kiungo hicho ndipo mkojo na shahawa vinakopita. Ni kiungo ambacho kina virutubisho vinavyowezesha mwanaume kumpa mimba mwanake. Ni kiungo muhimu sana kwa uume wa mwanaume.
Waziri Simbachawene anatoa majibu ambayo hayaeleweki kabisa. Washauri, kama walivyo EWURA, wanaajiliwa ili watoe ushauri na ushauri yapaswa yazingatiwe kwani wao ni wataalamu na wanategemewa sana serikali. Iweje mtu kama waziri anayehimiza uadilifu atoe maamuzi yanahusisha Sh.40 billioni bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.