Recent content by tumaswanya

  1. T

    Sisi WanaCCM, tumeiua CCM wenyewe kwa mikono yetu

    Wakihamia upande wa pili kunamfumo tofauti. Siyo rahisi kulazimisha mfumo kufuata mfumo aliyotokanao huko. Hivyo vyote tuliviona kabla tulia unyolewe.
  2. T

    Sisi WanaCCM, tumeiua CCM wenyewe kwa mikono yetu

    Usipisikia la mkuu huvunjika guu. Huyu mzee kingunge aliwashauri tangu mwanzo mkamwona nyabe. Haya sasa tulieni dawa iwaingie . CCM kwineeeeeeeeerrrrr
  3. T

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Lowasa ni mtu wa watu . Kila anakoenda watu humjalia . Sasa yeye atafanyaje? acheni roho mbaya. Angekuwa makomeo wagemsimamisha?
  4. T

    Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Rorya na Katibu wa vijana wahamia CHADEMA

    Wote watai Hadi wote waishe. Ama kweli ccm haina chao
  5. T

    CUF kupewa majimbo 35, NLD 5, NCCR Mageuzi 15 ni haki?

    Acha umbeya hata kama cuf wamepewa jimbo mpja haikuhusu. Viongozi wote walikubaliana wewe unsumia nini? Wao wamerizika. Nia yetu no kuiondoa ccm madarakani
  6. T

    Machemli, mbunge wa CHADEMA, ahamia ACT Wazalendo

    Aondoke tu bwana kwanza.alikuwa mnafiki tu ndani ya chadema.
  7. T

    Mwigulu: Wanaohama CCM wanasaka madaraka ili kulipa madeni

    Mbona kapi mishipa imemtoks? Yeye si aliusaka urais baada ya kupingwa chini ndio maana povu linamtoka. Hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji
  8. T

    Kamanda kova tuambie, Mgombea wa CUF ni n

    Ndio wote hao huyo katimwa ana lake jambo. Serikali yao ndio inayoyoma.
  9. T

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    Hili ni ngarika lowasa.kipenzi.cha watu. Mungu amtie nguvu.
  10. T

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    Lowassa chaguo la mungu. Lowasa kipenzi cha watu. Hana rika wakubwa na wadogo ni wake . Tanzania imepata rais mzalendo na mchapa kazi na mwenye upendo
  11. T

    GE2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

    Mtatiro mwanangu mungu akubari sana kukubali mstokeo. Tunakuomba uwe kampain meneja yeyote ambae jina lake litakae rudi kwa ajili ya kupigia kura.
  12. T

    Tazama CCM Wanavyoondoka Saa 4 Asubuhi Kwa 75%

    Hivyo vijiji na vitongoji vyote mmeshinda kwa rushwa tu. Maccm mjue watnzania sasa wako.macho. chadema tulishida
  13. T

    Edward Lowassa kuchukua fomu ya Urais ofisi za NEC Jumatatu tarehe 10 Agosti, 2015

    Lowasa kama Mtanzania ana haki ya msingi.ya kwenda kokote hapo bongo ilimradi havunji sheria . Hakuna mtu ana hati miliki na urahisi . Maguvuli ana haki na lowasa ana haki. Tuache umbeya na majungu havina tija kwa.taifa letu.
  14. T

    Zitto, Dk. Slaa na Prof. Lipumba hawawezi kumsahau Mbowe!

    Zitto tunaomba sera ya chama na utawafanyia nini wananchi wako wa kigoma na sipoteze muda wa kufa na watu unachuki binsfsi na vinyoko. Wewe ni msomi mzuri na usiwe mtu wa chuki.
  15. T

    Wema arudi Singida kushindana na Tundu Lissu

    Jamani hawa watu ni wasanii, wema kama wema anajua kabisa hawezi kusimama na Tundu lizu popote kisiasa hata kisheria . Anachotaka Wema hivi sasa labda asikike kwenye vyombo vya habari na lingine anatafuta ulaji, na huko ccm ndio kuna ulaji ukawa hakuna kitu. Mwacheni akauze sura
Back
Top Bottom