Kamanda kova tuambie, Mgombea wa CUF ni n

Kamanda kova tuambie, Mgombea wa CUF ni n

H.T.P

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
1,169
Reaction score
1,298
Jamani wanandugu mmemsikia kova akisema eti Lowasa aende akaanzie maandamano kwenye ofisi za CDM...sasa swali langu kwenu wana JF nisaidieni, ni lini kova amevunja muungano wa UKAWA? Maana kama hajauvunja mgombea anayohaki ya kuingia kwenye tawi lolote la vyama vyake.. Vinginevyo kova atuambie nani ni mgombea wa CUF.
 
Jamani wanandugu mmemsikia kova akisema eti Lowasa aende akaanzie maandamano kwenye ofisi za CDM...sasa swali langu kwenu wana JF nisaidieni, ni lini kova amevunja muungano wa UKAWA? Maana kama hajauvunja mgombea anayohaki ya kuingia kwenye tawi lolote la vyama vyake.. Vinginevyo kova atuambie nani ni mgombea wa CUF.
Huyu macho kumchuzi anatumika tu!! mara hii hawezi zuia mafuriko kwa mikono!
 
Kwan Haji n mwanachama wa Cuf au chadema? Mbona naww unakuwa kubwa jinga sasa
 
Jamani wanandugu mmemsikia kova akisema eti Lowasa aende akaanzie maandamano kwenye ofisi za CDM...sasa swali langu kwenu wana JF nisaidieni, ni lini kova amevunja muungano wa UKAWA? Maana kama hajauvunja mgombea anayohaki ya kuingia kwenye tawi lolote la vyama vyake.. Vinginevyo kova atuambie nani ni mgombea wa CUF.

Mkuu tuliza akili!
CUF hawana mgombea na mgombea mwenza wote ni CDM
Ndo kusema hata ruzuku hampati wala viti maalum .. zote zinaenda Chadema. Lowassa na Duni ni ticket ya Chadema.
Ngoja mkimaliza sherehe mtaelewa vizuri. CUF Bara imefutika imebaki jina tu.
Kova yuko sahihi wagombea wa CDM ndo wanaenda kuchukua fomu.
Ukawa haupo kisheria .. mliambiwa hamkusikia .. ngoja uone karatasi za uchaguzi ..hakuna CUF wala NCCR mwaka huu..
 
kova anafata sheria na kisheria ukawa haitambiki inayotambulika ni chadema... yuko sahihi
 
Nyie watu sijui kama shule mlikwenda,hivi hujui kuwa Lowassa ni mgombea wa Chadema?tume ya uchaguzi haiijui UKAWA inaijua Chadema na ndio maana ilimbidi Mzee Duni achukue kadi ya Chadema ili awe mgombea mwenza.

Hii ya UKAWA ni ya huku mtaani tu,UKAWA haitambuliki kisheria.
 
sasa swali langu kwenu wana JF nisaidieni, ni lini kova amevunja muungano wa UKAWA? Maana kama hajauvunja mgombea anayohaki ya kuingia kwenye tawi lolote la vyama vyake.. Vinginevyo kova atuambie nani ni mgombea wa CUF.

Sheria ya vyama vya siasa haitambui kuwepo kwa UKAWA.UKAWA si chama na haujaanzishwa kisheria.Ni kitu hewa ambacho hakina uhai wa kisheria.Hakiwezi omba kibali cha maandamano,hakiwezi shitaki wala shtakiwa.UKAWA unatumika tu kwenye propaganda za siasa.Kova hajavunja UKAWA atavunjaje kitu ambacho hakipo (it doesnt exist legally).
 
Nani amekwambia UKAWA wameomba kibali cha maandamano ?

CHADEMA ambao kwa niaba ya UKAWA wanapeperusha bendera ya urais kwa JMT wameamua msafara wao wa kwenda kuchukua form ya urais uanzie kwenye ofisi za CUF !. Kuna kosa gani hapo ?

Sheria gani inayokataza wao kufanya hivyo ?

Sheria ya vyama vya siasa haitambui kuwepo kwa UKAWA.UKAWA si chama na haujaanzishwa kisheria.Ni kitu hewa ambacho hakina uhai wa kisheria.Hakiwezi omba kibali cha maandamano,hakiwezi shitaki wala shtakiwa.UKAWA unatumika tu kwenye propaganda za siasa.Kova hajavunja UKAWA atavunjaje kitu ambacho hakipo (it doesnt exist legally).
 
Sisi wanaUKAWA tunalijua hilo sana na ndio maana Duni akahamia CHADEMA. Hebu sasa nijibu, ni sheria gani inayokataza msafara wa CHADEMA kuanzia ofisi za CUF ?

Nyie watu sijui kama shule mlikwenda,hivi hujui kuwa Lowassa ni mgombea wa Chadema?tume ya uchaguzi haiijui UKAWA inaijua Chadema na ndio maana ilimbidi Mzee Duni achukue kadi ya Chadema ili awe mgombea mwenza.

Hii ya UKAWA ni ya huku mtaani tu,UKAWA haitambuliki kisheria.
 
sheria ya vyama vya siasa haitambui kuwepo kwa ukawa.ukawa si chama na haujaanzishwa kisheria.ni kitu hewa ambacho hakina uhai wa kisheria.hakiwezi omba kibali cha maandamano,hakiwezi shitaki wala shtakiwa.ukawa unatumika tu kwenye propaganda za siasa.kova hajavunja ukawa atavunjaje kitu ambacho hakipo (it doesnt exist legally).
mjadala huu unakujaje????lowassa anakwenda kuchukua ya kugombea uraisi,maandano yanaanzia ofisi za cuf,sasa habari za cuf kutokuwa na mgombea zinakujaje??kazi ya polisi ni kutoa ulinzi na si kuamua "aanzie wapi maandano".hoja hii iletwe na wanachama wa cuf ila si polisi!!mwaka huu ccm na mawakala wake wameshikwa "pabaya".
 
bo..ya kweli kova kwani maandamano lazima muanzie ofc kwenu..kwel ccm wanatumia nguvu kubwa sana kuzuia mvua ya elininyo
 
Mkuu tuliza akili!
CUF hawana mgombea na mgombea mwenza wote ni CDM
Ndo kusema hata ruzuku hampati wala viti maalum .. zote zinaenda Chadema. Lowassa na Duni ni ticket ya Chadema.
Ngoja mkimaliza sherehe mtaelewa vizuri. CUF Bara imefutika imebaki jina tu.
Kova yuko sahihi wagombea wa CDM ndo wanaenda kuchukua fomu.
Ukawa haupo kisheria .. mliambiwa hamkusikia .. ngoja uone karatasi za uchaguzi ..hakuna CUF wala NCCR mwaka huu..

Well said
 
Jamani wanandugu mmemsikia kova akisema eti Lowasa aende akaanzie maandamano kwenye ofisi za CDM...sasa swali langu kwenu wana JF nisaidieni, ni lini kova amevunja muungano wa UKAWA? Maana kama hajauvunja mgombea anayohaki ya kuingia kwenye tawi lolote la vyama vyake.. Vinginevyo kova atuambie nani ni mgombea wa CUF.

Unaweza nitajia mgombea wa CUF?
 
Wewe unataka watu wasifanye kazi kwanza maandamano ya nini. Kama watu walio kuwepo jana ni vile Leo inaweza kuwa balaa.
 
Huyu kova anatumika....hakuna sheria inayosema lazima maandamano yaanzie ofisi za ...chama husika maandamano yanaweza anzia popote.....
 
Kova yuko online saiv ITV, Maandamano yatafanyika kama ilivyopangwa.
 
Back
Top Bottom