Allah amekufundisha kuswali,,,,, kwamba adhuhuri kuswali rakaa 4 na magharib uswali rakaa 3 ,,,,Quran imefundisha kwamba swala zingine imamu aswalishe kimya kimya na nyingine asome kwasauti embu tuambie umejifunzia wap hayo na ukienda kuswali unayafata mtume kaitafsiri Quran yote uache hyo janja...