Picha A: ni akili unde: kwasababu
Ukiangalia hiyo gari jeupe apo utaona upande wa nyuma tairi na body imekaa ulalo. Na pia ina quality kubwa so hiyo pia ni sababu ni akili unde. AI
Nilisikia kwamba Ronaldo akipiga shuti lazima ichane nyavu na pia akipiga shuti likakosa goli lazima shabiki 1 wa nyuma ya goli pinzani atakae patwa na mpira lazima avunjwe vidole au mkono kabisa
Mimi kiukweli naendaga kwenye account ya Milard Ayo.. ndo niangalie kama amepost ndo niamini. Ila kwa sikuhiz nimeona sehemu sahihi ni JF.Whatsapp channel
Kwasababu ipo karibu na mahala ninapopenda kuchati. Mahala hapo ni WhatsApp
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.