Recent content by Tsumma Lee

  1. Tsumma Lee

    Raia wa Kenya ni masikini kuliko Watanzania

    Usiwe Kama shoga basi, unapoelekezwa uwelekezeke usipaniki Kama umepasukiwa na kondom ukeni.
  2. Tsumma Lee

    Raia wa Kenya ni masikini kuliko Watanzania

    Umeitembea Afrika wew au unalopoka tu kufurahisha Genge. Kwa Afrika hii nchi zenye quality ya maisha ukiondoa South Africa🇿🇦 Morocco🇲🇦 Botswana🇧🇼 na Egypt🇪🇬. Hizo nchi zingine zilizobaki zote ni chai tuu pamoja na Bongo yako🇹🇿 kuku wewe☹️☹️.
  3. Tsumma Lee

    Mazingira ya Kenya ni mazuri kuliko Tanzania kwa hali ya hewa

    Jamani mtu yoyote akiandaa UZi wa kiswahili humu ajiandae kupigwa mabom ya Urusi. Shida wabongo nusu ya vijana ya humu JF ni watoto wa madiwani na makatibu kata.
  4. Tsumma Lee

    Jinsi ya kutengeneza You Tube channel

    Uko na viewers wangapi🤣🤣🤣
  5. Tsumma Lee

    Tunaotaka kwenda Zambia kuangalia fursa tukutane hapa

    Na Mimi nakuuliza wew ukiondoa Dar es Salaam kwa hapa Tz ni jiji gani lenye maisha mepesi au lililoendelea?
  6. Tsumma Lee

    Zambia wana malls nyingii na hawajisifu kama hawa jamaa zetu wa Kenya

    Nakujaza Tena mkuu Zambia sio Malls Kuna SHOPRITES za kufa mtu mi nilipita kwaka Jana 2022 Dec 3. Na hayo ndo maduka yao sio ya hapa Dar kwa kina mangi nipe maji ya Hill😅
  7. Tsumma Lee

    Wachezaji Mashuhuri toka Ghana wagoma kuondoka Tanzania baada ya mikataba Yao kumalizika, waomba uraia

    Matako Matako yako wew Nan hakupe Uraia wa NCHI hii, vichaa tuliokuwanao wanatutosha ukiongezeka na wew hili Taifa si latakuwa la wehu watupu🤔
  8. Tsumma Lee

    Maisha halisi ya Burundi

    Mimi Sina mengi lakin nakumbuka mwaka 2018 kwenye miezi ya mwishoni nilikuwa nasafiri kwenda South Africa nilipitia Malawi na Mozambique. Kwenye bus kulikuwa na M, Burundi mmoja na aliniambia Bujumbura inaingia mala 10 kwa Dar es Salaam.
  9. Tsumma Lee

    Bar zote za hili jiji la Dar es Salaam hakuna windhoek za kopo. Ni aibu

    Hivi bro naomba nikuluze kitu, mim nna passport yangu ambayo mwaka Jana nilisafiri kwenda SA nilipitia Zambia nikaigonga fleshi tu lakini wkt wa kurudi pale beit bridge boda ya South Africa na Zimbabwe upande wa SA wakanigongea muhuri wa kunizuia nisirudi Ile nchi ndani ya miaka 5 kwa kosa la ku...
  10. Tsumma Lee

    Maisha ya mchomoko Afrika Kusini

    Na katika hiyo miji uliyoitaja Pretoria🇿🇦 ndo mji salama zaidi kuliko hiyo miji mingine. Mi nipo hapa Pretoria nafanya kazi katika Berbarshop ya waganda na nashukuru mungu maisha yanaenda.
  11. Tsumma Lee

    Namibia ni nchi nzuri kuliko nchi zote za Afrika, vijana nendeni mkaone

    Mimi mwenyewe Traveller and I've ever traveled Over five African countries including South Africa. Nimekaa sana Joburg na Pretoria 🇿🇦 Pia Nimeishi Mozambique Maputo 🇲🇿. Ila Tanzania 🇹🇿 it's a beautiful country kwakweli tumekosa uwongozi mzuri tu. Lakini Hizi nchi Kama Botswana na jirani yake...
  12. Tsumma Lee

    Dar es Salaam si jiji lenye gharama za juu kuishi Afrika

    Kuna watu mnachangia mada zilizo nje ya uwezo wenu. Sasa na (Dakar Senegal) au Johannesburg South Africa Iko Afrika mashaliki au.
  13. Tsumma Lee

    Kwanini Vijana wa Tanzania hawajitumi kwenye maisha tofauti na Vijana wa Nigeria na Kenya?

    Wew mwenyewe mtoa mada mvivu eti nyokonyoko nyokonyoko pumbavu zako👌
  14. Tsumma Lee

    Hali halisi ya maisha ya Afrika Kusini

    Wew usiwe boya🤔 huyu jamaa ajamtisha mtu hapa Bali katoa huwalisia wa Maisha ya SA yalivyo. Ukweli ni kwamba hiyo nchi mim nimekaa sana na nimeenda mala tatu nimerudi mwaka Jana Tarehe5 Dec-2022. Asaivi Hali ni ngumu sana. Walikuwa wanakuja mahom boy wapya kila siku wengine hata mwezi hauwishi...
  15. Tsumma Lee

    Mataifa 10 ya Afrika yenye viwango vya juu vya ubora wa maisha

    Daah mwanang umenikatisha tatamaa kinoma yan. Mana nilikuwa na mpango wa kwenda kulikita Nairobi next week koz bongo naona kiza tuu🤔🤔🤔
Back
Top Bottom