Maisha ya mchomoko Afrika Kusini

Maisha ya mchomoko Afrika Kusini

niliwahi kufika Jo’burg miaka kadhaa nyuma uko poa sana. ila miji kama Pretoria na cape town ni ghali sana kuishi.

niko tyr kukosolewa.
Na katika hiyo miji uliyoitaja Pretoria🇿🇦 ndo mji salama zaidi kuliko hiyo miji mingine. Mi nipo hapa Pretoria nafanya kazi katika Berbarshop ya waganda na nashukuru mungu maisha yanaenda.
 
Na katika hiyo miji uliyoitaja Pretoria ndo mji salama zaidi kuliko hiyo miji mingine. Mi nipo hapa Pretoria nafanya kazi katika Berbarshop ya waganda na nashukuru mungu maisha yanaenda.
Piga kazi kiongozi kanyaga twende.
 
Kwan hakuna kazi halali hata za chini tu mfano kuwa mhudumu wa mgahawa, kuwa mpishi, kuwa mfanya usafi wa kampuni ya usafi, etc zile kazi za kulipwa ujira wa siku au kazi za kuanza na minimum salary?

Why watu wasianzie hapo chini huku wakijitafuta kwenda juu?

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Wabongo wengi standard 7 au nothing so wakifika Dzonga hawawezi kazi Halali ambayo inahitaji lugha iwe imelala Kiaina hivyo hujachanganya na wabongo wenzao ambao Dili zao ndio hizo ulizoambiwa .
 
Na katika hiyo miji uliyoitaja Pretoria🇿🇦 ndo mji salama zaidi kuliko hiyo miji mingine. Mi nipo hapa Pretoria nafanya kazi katika Berbarshop ya waganda na nashukuru mungu maisha yanaenda.
Capetown huku ni mji mmoja sana uko kitaliii zaidi, huku kuna utaliii unaweza ukazunguka mpaka ukachoka na utaliii wa huku, hali ya hewa pia huku iko poa kama Europe vile kwa siku moja unaweza pata 4 seasons of the year, kwaiyo eneo kama hili lazima maisha kidogo yawe ghali.

Ila wabongo wenzangu nawashauri wajaribu ku move watoke bongo watembee watajifunza mengi

Wachanga vilevile karibuni huku mje kuvuna, biashara zenu huku msomali na muethiopia ndio kazishika
 
Asante asee Kwa pin code ndio nimefika hapa natafuta fremu ya duka sema bia za huku ni kubwa sana kiruuu na nyama ni mingi aisee.
Naona kama Niko Moshi maana na Hali ya hewa baridi kama vile rongai.
Hapa Cape Town ni home away from home babaangu!
Siondoki mpaka kieleweke.
Bia za huku ni lita moja, ukiona chupa ilivyo kuwa kubwa utashangaa unywaji wa pombe huku ni mkubwa na ukikaa uko location ndio kabisa pombe kama ni mnywaji utakunywa sana.

Nyama utakayokula mwaka 1 hapa ni sawa na nyama ya utakayokula bongo hata mika 3. Nyama mtu anakula mara 3 kwa siku

Kama uko Cape hapa tubadilishane experience's
 
Back
Top Bottom