Huyo ni shetani kaona umeshinda majaribu yote sasa anataka kupitia wa huyo kwa sababu anajua ndo unayempenda.,
dada yangu utajuta tena mjuto ambao hautausahau maishani,.
Anyway ni maamuzi yako,.tena toka haraka nipe mm huyo ticha.,
kifupi ww ni mshamba,mshenzi,na huna huruma,zaidi zaidi una upeo mfupi wa ufikiri,mm niko km ww lkn siwezi kuacha kumpenda kk wa watu eti kisa hana elimu,.huyo ambaye hana elimu ana ndugu wangapi ambao walihitaji msaada km anaokupa ww?? Kama kazi zake hazieleweke kaa chini piga magoti muombe...
unajua kila binadamu hajakamilika,.sugu kazoea kushangiliwa sasa anajua kila afanyalo watu watamshangilia,huo ni upumbavu na akili za kitoto,mara ya kwanza ulivypatana na ruge uliwa,diss wenzako vibaya(vinega) ss leo umekuja na upuuzi wako hapa,.nendeni mkakae na vinega wenzio mkaendelee kuimba...
Kifupi ntarudi nyumbani na kumwambia what happened,then ntamwambia awakanye wanawake zake,coz sina wa kugombana nae kwasababu wkt yy anafanya yk na mm nafanya yng.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.