Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
sugu badirikapo mweeh!
i had a gut feeling from the fu**ing start!!beef are squashed,always bubbling under..jigga and nas squashed their beef before tv cameras but them dudes diss one another in the hood when the other ain't around..
this ain't about music at all,this beef is on another level,it is a political war between ccm and chadema,ruge and sugu repping their sides respectively..there will never be no peace,..i wanna kill right now,wa,wanna kill right now.
Hata mini nimesikia hizi fununu,ngoja tusubiri jioniHabari zisizo rasmi zinasema kuwa kesi iliyofunguliwa na bwana Joseph Kusaga dhidi ya Vinega imefutwa. Kwa mwenye habari zaidi au aliyekwenda mahakamani atuambie hapa imekuaje?
safi sana mkuuWe nawe na kingleza chako huna akili. Leo mchana pale kisutu Mapacha wa Vinega wanashitakiwa na Joseph Kusaga Mkurugenzi wa Clouds. Sasa unawezaje kuingiza siasa hapo?
Ningekuona una akili kama ungesema mapatano yao (labda) yalikuwa yanalengo na kisiasa lakini hapo kwenye kesi, hapana. Tunapoamua kupatana nje ya mahakama, maana yake mahusiano yanaanza upya na kusahau yaliyopita lakini Clouds wamevunja mapatano kwa mantiki hiyo beef lipo pale pale.
Nadhani Clouds walipanga mambo yawe hivi tangu mwanzo. Ni Sugu na Vinega ndio walikua wanawashambulia Clouds kuwa wanahujumu mziki. Wakaamua wapatane (kupitia Ruge). Baada ya hapo Clouds wanawashtaki Vinega (kupitia Kusaga) na Sugu anaporudi kusema beef linaendelea ni dhahiri ataonekana yeye ni mkorofi. Mtego umelala kwenye mapatano baina ya Ruge na Sugu ( na sio Clouds) ndio maana matatizo yanaendelea kuwepo. Nadhani Clouds wanaweza kushinda (only for a short term) baada ya hapo vita itakua kubwa kuliko tunavyotegemea. NINUKUU! Ahsante