Hii imeniumiza sana , kwanza umefanya jambo iema sana ku share issue yako badala ya kunaki nayo mwenyewe, pia umekua jasiri sana mtu mwingine angekua ashafanya maamuzi magumu kama kujiua nk , as long as unapumua mshukuru Mungu na kaza buti “ there’s a way out”. Mimi nashauri uanze kwa kuuza gari...
Nakubali sana watu wenye uthubutu, wacha nikumegee kidogo ninachokijua au watu wanavyofanya, ni kucheza na education visa, ila inabidi uwe na pesa kiasi za kuanzia, unahakikisha umeapply chuo either scholarship au kujilipia then unahakikisha umepata admission letter unaianza safari.
Ukifika...
Muendelezo....
Kwenye kila hustle huwa kuna vikeazo vyake , Baada ha kuelezea mawazo yangu juu ya namna mtu anaweza hamia Australia wacha niongelee niliyosikia kwa upande wa Spain.
Yafuatayo Ni maelezo pia niliyopata toka kwa mtu ambaye rafiki yake alishatumia hiyo njia. Ni Mtu wa Morocco...
ITAEWON Class ni kati ya series za Kikorea zilizonirejesha kwenye game upyaa baada ya kuzitema kwa muda... Itaewon Class ina u-unique sana ukiachana na mvuto wa warembo waliomo humo Hustle za Park-saeroyi na DanBam yake si za kitoto. Baada ya Itaewon nimeshika kitu kinaitwa “Extracurricular”...
Habari wana jamvi , imekua ndoto yangu ya muda mrefu kutaka kusogea mbele kidogo na kubadilisha upepo wa bongo kutokana na factors nyingi tu ikiwemo ugumu wa maisha pamoja na uvunjifu wa demokrasia nk.
Nashukuru Mungu nimeweza kupiga hatua moja na kutua nchi mojawapo Asia kimasomo ila sitamani...
Haha Nikki yupo na point , ila Skuizi watu wana tafuta Viewers kama sio msanii maarufu au Infuencer kwa namna yoyote Salama sio rahisi akuweke kwenye kipindi chake, hata kwenye vipindi vya redio focus kubwa ni viewers/listeners kama huwezi waletea unakaa pembeni. Pia kuna wasanii wengine...
Wamasai na Waarusha ni makabila mawili tofauti japo Yana muingiliano wa tamaduni kama mavazi, lugha (japo matamshi hutofautiana kidogo) vyakula, nk. Waarusha huwa wanapatikana maeneo ya Meru Arusha Mjini mpaka Namanga na watu huwachukulia kama class ya Wamasai walioendelea au civilised na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.