Njia rahisi ya kuhamia Australia na Spain

Nimeishi asia pia japo ni kwa mwaka mmoja tu ila uliisha nikiwa nimeteseka vya kutosha. Nliishi maisha ya anasa sana maana nlikuwa mwanafunzi mfanya kazi hivo nliishi hoteli ya nyota 3 na malipo ya 1mil kila mwezi kama rupee 28000 hivi. Ila sasa wahindi wabaguzi sana.
 
mi nataka jilipua italy kama covid ikpunguza mchecheto hv!.. Hla sijajua kwao imekaaje!
 
mi nataka jilipua italy kama covid ikpunguza mchecheto hv!.. Hla sijajua kwao imekaaje!

Nakubali sana watu wenye uthubutu, wacha nikumegee kidogo ninachokijua au watu wanavyofanya, ni kucheza na education visa, ila inabidi uwe na pesa kiasi za kuanzia, unahakikisha umeapply chuo either scholarship au kujilipia then unahakikisha umepata admission letter unaianza safari.

Ukifika huko sasa inategemea na nchi inabidi ufanye kautafiti kidogo kama vile je wanaruhusu kufanya kazi na kusoma ? Kama wanaruhusu then unapiga kazi na kama huna scholarship unajilipia ada maisha yanaenda badae unaweza amua achana na chuo hela ikikolea au ukipata connections zaidi na kutafuta Work Visa.
Waafrika wengi wanapambana sana ughaibuni hasa wa-Nigeria wana roho za kuto kuogopa na ku risk kivyovyote, ila ni bora kwenda kwa njia halali kuepusha shuruba za hapa na pale.
 
Spain mishahara midogo sana, hata sio kwa kupatamani.
Lots of Africans wanafanya kazi kwenye greenhouses
Mkuu na gharama za maisha zikoje? Inawezekana mshahara mdogo lakini gharama ziko chini
 
Back
Top Bottom