Aisee kweli kbsaaaaaaaa tena hasa mabinti jmn.
Wanapotafuta kazi na wakahitajika kwenda kuonana na huyo mtu, ki ukweli ushauri wangu wasijiamini kuptiliza kwa maisha ya sasa....maisha ambayo kila mtu ana shida ya pesa...na wengine wananjia zao za kupata pesa.
Soo kina dada chonde chonde...
jaman naitwa SAM naishi dar-es-salaam...ni kijana mdogo nimezaliwa mwaka 1991 huko masama kilimanjaro...nimezaliwa ktk familia ya kikristo inayomjua mungu..baba akiwa mchungaji mama akiwa mfanyabiashara tu wakawaida...lkn sijui n mipango ya mungu sijui ya shetani..wazaz wangu hawakuweza kudum...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.