Recent content by TRUE LOVE

  1. T

    Hii ni hatari sana!! kutoka kwa Mtela Mwampamba...

    Dah! kama kna binadam wa aina hii wasio na huruma kwa wenzao bas mwisho wa dunia umefika. hata kama cyo wanachama wa chama chako huwez waita jina la ajabu namna hiyo lakn anatakiwa kujua kuwa leo mzima kesho je? hafai kabisa huyu jamaa
  2. T

    Dr Slaa ninamashaka na upeo wako,,!!

    Vijana ambao akili zenu zimetekwa na ccm polen sana chama kina miaka zaid ya 50 hakna cha maana zaid ya wizi, au na nyie mnajiandaa kuja kuiba? mtakta nchi ipo cdm sijui mtaibaje? badiln fikra zenu waachien ccm wenye nayo kama akina kinana.
  3. T

    Live updates Mkutano wa Dr. Slaa Morogoro.

    Ukombozi ni lazima hasa watu wanapouhitaji, nataman 2015 iwe kesho tuwaoneshe ccmafisadi tulivyowachoka, matatizo ya taifa letu ya umasikini,udini,elimu mbovu,nk wamesababisha wao, viva chadema viva ukomboz wa taifa. mimi ccmafisadi sidanganyiki tena
  4. T

    Lipumba akiri kumsaidia Kikwete Uchaguzi 2010

    Dah, kama kweli habari hii n ya kweli basi serikal ifanye kaz yake wamkamate lipumba ndo atatueleza vizr. na kama si kweli watueleze watz waspokanusha bas huo ndo ukwel, pia nawashaur waisram wasdanganywe na wasiasa waliochoka kama lipumba.
  5. T

    Safari, Marando, Lema, Zitto kuwasha moto Bagamoyo leo jioni!

    Mwaka huu mpaka nchi ikombolewe, ccm mpaka wajue kabisa kuwa tumewachoka na wameshindwa kuiongoza nchi wameiba vya kutosha wapishe, viva chadema mpaka kieleweke.
  6. T

    Uhaini wa Mtwara ulipangwa

    Serikali ya ccm taften chanzo cha tatzo, msikimbilie kulaum vyama vya upinzan, wananch wanachoma nyumban zenu kwasababu mmewasaliti na kuwasababishia maisha magumu. kama mtakimbilia kukilaum cdm ndo mtazd kujimalza kabisa wananch wamewachoka kbalini
  7. T

    Watu wauawa, Ofisi zachomwa Mtwara | Bunge la jioni lasitishwa - Hali ni tete...

    Tatizo hili limechangiwa na serikali kushindwa kutoa majibu kwa maswali ya wananchi juu ya ugumu wa maisha na matatzo ya mikataba mibovu
  8. T

    wanawake wasio na shukrani

    Pole, hv mbona wapo wengi sana wahitaji kama watoto yatima, wajane nk. unatumia mali yako ili dem akupende? utakuja kujinyonga huyo anayeampendaye kwa dhati na si wewe
  9. T

    Tukio la Mlipuko wa Bomu Arusha: Victor ndiye aliyembeba mlipuaji kama abiria wa boda boda

    Da kama taarifa hii ni ya kweli kwanza inasikitisha, pili nashaur awe msaada wa upelelezi ukikamilika atoke. serkal ina mkono mref watafte wahuska katka kwel ya mungu
  10. T

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    poleni majeruhi wa tukio mungu atawasaidia mtapona tu
  11. T

    Ni hatima ya CHADEMA ndani ya jiji la Mwanza?

    Tatzo watu hawaelewi, ukombozi na maendeleo yanaanzia akilini, chadema wamekomboa akili za watz sasa watz wanajua kila kit na kwa sababu hiyo issue ya maendeleo inawezekana tena kwa haki kwa ktmia rasilimali zet na si kifisadi
  12. T

    CHADEMA yataja kikosi chake cha maangamizi kata nne za udiwani arusha...

    Hongera lema hongera neema lema wazo lako la kuficha cm lilkuwa wazo la mwaka, hali ya hewa ya jana kwa arusha haikuwa nzuri lakn wanaarusha hawakjali hii n salam tosha kwa ccm kuwa hawana tena nafasi na tumewachoka sasa hivi tunajiandaa kuizika
  13. T

    Msigwa awashika CCM: Ahoji kwanini hawaombi ushahidi wanamwita tu Mwongo

    Hongera mh.msigwa kwa kuwapa ukweli, ndio maana naipenda chadema, kwel nchimbi angeomba ushahidi kama haamn na si ngonjera hizo. tatzo anaogopa kuomba ushahd c anajua wahusika! viva mch.msigwa viva chdma
  14. T

    Mh.NCHIMBI umemtetea kinana,toka na hili pia

    Jaman ccm ina mtandao mkubwa wa wizi hili la kinana siamn kama ni yeye pekee kuna wengne nyuma yake. dawa ni 2015 kuipga chini bila hivyo mambo yatendelea hiv hiv
Back
Top Bottom