Dah! kama kna binadam wa aina hii wasio na huruma kwa wenzao bas mwisho wa dunia umefika. hata kama cyo wanachama wa chama chako huwez waita jina la ajabu namna hiyo lakn anatakiwa kujua kuwa leo mzima kesho je? hafai kabisa huyu jamaa
Vijana ambao akili zenu zimetekwa na ccm polen sana chama kina miaka zaid ya 50 hakna cha maana zaid ya wizi, au na nyie mnajiandaa kuja kuiba? mtakta nchi ipo cdm sijui mtaibaje? badiln fikra zenu waachien ccm wenye nayo kama akina kinana.
Ukombozi ni lazima hasa watu wanapouhitaji, nataman 2015 iwe kesho tuwaoneshe ccmafisadi tulivyowachoka, matatizo ya taifa letu ya umasikini,udini,elimu mbovu,nk wamesababisha wao, viva chadema viva ukomboz wa taifa. mimi ccmafisadi sidanganyiki tena
Dah, kama kweli habari hii n ya kweli basi serikal ifanye kaz yake wamkamate lipumba ndo atatueleza vizr. na kama si kweli watueleze watz waspokanusha bas huo ndo ukwel, pia nawashaur waisram wasdanganywe na wasiasa waliochoka kama lipumba.
Mwaka huu mpaka nchi ikombolewe, ccm mpaka wajue kabisa kuwa tumewachoka na wameshindwa kuiongoza nchi wameiba vya kutosha wapishe, viva chadema mpaka kieleweke.
Serikali ya ccm taften chanzo cha tatzo, msikimbilie kulaum vyama vya upinzan, wananch wanachoma nyumban zenu kwasababu mmewasaliti na kuwasababishia maisha magumu. kama mtakimbilia kukilaum cdm ndo mtazd kujimalza kabisa wananch wamewachoka kbalini
Pole, hv mbona wapo wengi sana wahitaji kama watoto yatima, wajane nk. unatumia mali yako ili dem akupende? utakuja kujinyonga huyo anayeampendaye kwa dhati na si wewe
Da kama taarifa hii ni ya kweli kwanza inasikitisha, pili nashaur awe msaada wa upelelezi ukikamilika atoke. serkal ina mkono mref watafte wahuska katka kwel ya mungu
Tatzo watu hawaelewi, ukombozi na maendeleo yanaanzia akilini, chadema wamekomboa akili za watz sasa watz wanajua kila kit na kwa sababu hiyo issue ya maendeleo inawezekana tena kwa haki kwa ktmia rasilimali zet na si kifisadi
Hongera lema hongera neema lema wazo lako la kuficha cm lilkuwa wazo la mwaka, hali ya hewa ya jana kwa arusha haikuwa nzuri lakn wanaarusha hawakjali hii n salam tosha kwa ccm kuwa hawana tena nafasi na tumewachoka sasa hivi tunajiandaa kuizika
Hongera mh.msigwa kwa kuwapa ukweli, ndio maana naipenda chadema, kwel nchimbi angeomba ushahidi kama haamn na si ngonjera hizo. tatzo anaogopa kuomba ushahd c anajua wahusika! viva mch.msigwa viva chdma
Jaman ccm ina mtandao mkubwa wa wizi hili la kinana siamn kama ni yeye pekee kuna wengne nyuma yake. dawa ni 2015 kuipga chini bila hivyo mambo yatendelea hiv hiv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.