Dr Slaa ninamashaka na upeo wako,,!!

Dr Slaa ninamashaka na upeo wako,,!!

hakuna shaka, DR SLAA ni msumar tena wa mto kwa ccm,. ndiyo maana mnamsema sana. je ni kwa kiwango gari maneno yenu yamefanikiwa kumdhibiti yeye na cdm kwa ujumla?. changes is seems to be unstoppable, let cdm lead it.. ccm is th main victim
 
Your thread lacks substance! Upuuzi mtupu. Intelijensia ya chama imenasa mpango, wala hakuna kesi mahakamani. Akili za ajabu kweli
 
Ukikubali kutumika (cheap labor) ujue hapo ndiyo mwisho wako! maelezo ya press release yako very clear tena yamo humu jf halafu unakuja na vitu vya ajabu mbona vijana tunajidhalilisha? Mengine uliyotakiwa kufikiri mara mbili kabla ya kuandika ni kusema;

  • Eti Kinana ni Kiongozi makini ( are you sure ) ujangili wa tembo.
  • Eti Kinana siyo size Slaa ( mbona aligwaya kwenda ITV kufanya kipind na Slaa) acha unafiki.
 
Vijana ambao akili zenu zimetekwa na ccm polen sana chama kina miaka zaid ya 50 hakna cha maana zaid ya wizi, au na nyie mnajiandaa kuja kuiba? mtakta nchi ipo cdm sijui mtaibaje? badiln fikra zenu waachien ccm wenye nayo kama akina kinana.
 
Jana ulikuwa wapi wakati taarifa hii inaambaambaa hapa JF?Mbona alionyesha ushahidi wa barua?Ushahidi gani unahitaji?Gazeti gani ulilosoma wewe amabalo limepotosha?Hakusema ameweka wanasheria makini, kwanza kama ni uanasheria makini basi huyo Lissu ndio makini zaidi.Fuatilia habari vizuri kabla ya wewe kutoa shutuma hapa kwani tutakudharau.
 
NINA MASHAKA NA UPEO WA Dr SLAA,,!!

Leo vyombo vya habari vimeripoti kuwa Dr Slaa anamlaumu Katibu Mkuu wa CCM kutaka kuhujumu mwenendo wa Kesi ya rufaa ya Tundu Lisu kwakuweka wanasheria makini kuhakikisha Lisu anashindwa kesi hii,,!!

Kwanza anachokifanya dr slaa nikuingilia uhuru wa mahakama kwakujadili kesi iliyoko mahakamani,,huu ni uhuni na uvunjifu wa sheria amabo sikutegemea kiongozi wa juu wa chama kufanya.!

Pili mtu yeyote mwenye kesi mahakamani ana haki yakuomba msaada wakisheria kama anahitaji bila kujali msaada huo anupata kwa nani?awe ni Kinana au Mwanakijiji kutoka Singida,,hivyo walalamikaji kama wameomba msaada wakupatiwa mawakili sheria haikatazi,,!

Tatu,tumeshuhudia kesi nyingi za rufaa ambazo chadema wameshinda,,Arusha,Ubungo kwa uchache wake lakini viongozi wa chadema walikuwa wa kwanza kuisifu mahakama iweje leo wakose uvumilivu nakuiacha mahakama ifanye kazi yake?mbona CCM haikulalamika kwenye kesi chadema walizoshinda?

Nne,,Kinana ni kiongozi makini,hajawahi wala haitatokea akafanya upuuzi wa namna hii,,kama dr slaa anaushahidi na anacho zungumza ni vema akakiweka hadharani badala yakuwahadaa watanzania anapoona hali ya kesi inambana Lisu,,!!

Mwisho,,Ushauri wangu kwa huyu babu,Kinana siyo saizi yako utapasuka mapafu ukitaka kushindana nae,,badala yakutunga uongo na majungu ungetumia muda huu kujenga chama chenu na kujifunza kutoka kwa CCM,,!!
mkuu tuwekee hilo gazeti hapa, kuna uwezekano mkubwa wamechakachua! Pia sijaona cha msingi ambacho chadema wanaweza jifunza toka ccm! Yepi? Ya kufungulia watu mashataka nje ya taratibu?
 
Kwa kumsaidia tuu mdau aliyeanzisha mada. Pengine hakuiona hii

TAARIFA KWA UMMA


KINANA, CCM WANAPANGA NJAMA ZA KUMVUA LISSU UBUNGE MAHAKAMANI!!!

Dar es Salaam, 31 Mei 2013...

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali njama za Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana kufufua kesi ya uchaguzi dhidi ya Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Mh. Tundu Lissu. Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa amedai kwamba CHADEMA imekamata nyaraka zinazoonyesha kwamba Katibu Mkuu wa CCM Kinana amewaelekeza waliowakuwa mawakili wa makada wa CCM waliomfungulia Mh. Lissu kesi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi wa Ubunge katika Jimbo la Singida Mashariki mwaka 2010 wafungue rufaa katika Mahakama ya Rufaa ya Tanzania ili kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma iliyotupilia mbali kesi ya makada hao wa CCM dhidi ya Lissu. Kesi ya Mahakama Kuu ilitupiliwa mbali tarehe 27 Aprili mwaka jana.

Dr. Slaa alisema kwamba lengo la njama za Kinana na CCM ni kuhakikisha kwamba Mh. Lissu anafutiwa Ubunge ili asiweze kushiriki katika mchakato wa Katiba Mpya kama mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba litakalojadili na kupitisha rasimu ya Katiba Mpya baadaye mwaka huu. Dr. Slaa alisema: “Kwa kipindi kifupi ambacho amekuwa Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni na Mbunge, Mheshimiwa Lissu amekuwa mwiba mkali kwa CCM na Serikali yake ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Amefumbua macho ya mamilioni ya Watanzania kuhusu masuala makubwa ya kikatiba na kisheria kwa hoja zake Bungeni. Uelewa wake mpana wa masuala hayo na wa Kanuni za Bunge umekuwa kikwazo kikubwa kwa CCM na Serikali yake pamoja na uongozi wa Bunge kupitisha mambo yao kinyume cha sheria, Kanuni za Bunge na maslahi ya nchi yetu. Uwepo wake ndani ya Bunge na ujasiri wake katika kutetea hoja mbali mbali umemzuia Spika wa Bunge na uongozi mzima wa Bunge kuwaonea Wabunge wa Upinzani na hasa CHADEMA. Mtu huyu amekuwa adui mkubwa wa CCM ndio maana Kinana anataka aondolewe Bungeni ili asiwepo kabisa katika mjadala wa Katiba Mpya Bungeni.”

Kwa mujibu wa Dr. Slaa, mara baada ya Mh. Lissu kuwasilisha hotuba ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni juu ya bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria tarehe 3 mwezi huu ambapo aliishambulia Tume ya Mabadiliko ya Katiba na CCM kwa kuvuruga mchakato wa uundaji wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya kwa lengo la kuhakikisha Mabaraza hayo yanakuwa ya wanachama wa CCM tu, Kinana alimwita wakili wa kujitegemea Godfrey Wassonga wa kampuni ya mawakili ya Wassonga Associates Advocates ya mjini Dodoma na kumwelekeza afungue rufaa dhidi ya Lissu katika Mahakama ya Rufaa ya Tanzania haraka iwezekanavyo. Siku nne baadaye yaani tarehe 7 Mei, 2013, Wakili Wassonga alifungua rufaa hiyo katika Masjala Ndogo ya Mahakama ya Rufaa ya Tanzania mjini Dodoma.

Ijapokuwa rufaa hiyo inaonyesha kufunguliwa na Shabani Itambu Selema na Paschal Marcel Hallu waliokuwa walalamikaji katika kesi iliyotupwa na Mahakama Kuu, Dr. Slaa alidai kwamba watu hao hawahusiki kwa namna yoyote ile na kufunguliwa kwa rufaa hiyo.

“CCM na mawakili wao wanawatumia tu wanakijiji hawa bila hata kuwapa taarifa au kuwashirikisha kwa namna nyingine yoyote. Huyu Shabani Itambu Selema amekula kiapo mahakamani Dodoma kwamba yeye na mwenzake ambaye bado ni Katibu Kata wa CCM huko kwao, hawakuambiwa chochote juu ya kufunguliwa kwa rufaa hiyo. Hawakutoa maagizo yoyote kwa Wakili Wassonga kufungua rufaa kwa niaba yao dhidi ya Lissu; hawajamruhusu Wakili huyo kupinga maamuzi ya Mahakama Kuu iliyoridhika kwamba uchaguzi wa Mbunge Lissu ulikuwa halali; hawajamlipa Wakili Wassonga kwa ajili hiyo. Huyu Wakili anafunguaje kesi au rufaa bila kuambiwa au kulipwa na ‘wateja’ wake? Kama huku sio kukosa maadili ya kiuwakili ni kitu gani?”, amehoji Dr. Slaa.

Kuhusu ushiriki wa Kinana katika sakata hilo, Dr. Slaa alisema kwamba mara baada ya rufaa hiyo kufunguliwa, Wakili Wassonga alimwandikia Katibu Mkuu huyo wa CCM barua yenye kumbu kumbu Na. NO/KM/CCM/01/2013 kwa ajili ya “MADAI YA MALIPO YA AWALI YA SHAURI LA RUFAA KESI YA UCHAGUZI JIMBO LA SINGIDA MASHARIKI SHABANI ITAMBU SELEMA NA MWENZAKE DHIDI YA MH. TUNDU LISSU.” Barua hiyo inamkumbusha Kinana juu ya ‘makubaliano’ kati ya Wassonga Associates Advocates na CCM kuhusu kusimamia kesi ya wanachama hao wa CCM dhidi ya Mh. Lissu ambayo baadae ilitupiliwa mbali na Mahakama Kuu.

“Baada ya shauri husika nilipata maelekezo kutoka kwa wanasheria wa CCM kwamba tukate rufaa Mahakama ya Rufaa kazi ambayo tumekamilisha.” Wakili Wassonga anamweleza Kinana “... katika shauri la mwanzo nilikuwa nalipwa na CCM Singida Mkoa na hawakumalizia malipo.” Barua hiyo imeambatana na hati ya madai ya malipo (invoice) kwa ajili ya ‘malipo ya awali’ ya shilingi milioni mbili.

Dr. Slaa alidai kwamba kazi ya Lissu na wabunge wa CHADEMA ndani ya Bunge inawatisha CCM na Serikali yake ndio maana sasa Kinana anataka Lissu aenguliwe kwa kutumia Mahakama ya Rufaa ya Tanzania. “CCM inatapatapa, Bungeni hapakaliki kwa sababu ya hoja za Lissu na Wabunge wengine wa CHADEMA. Kila siku Bunge linaahirishwa ili kukwepa mijadala mikubwa juu ya matukio muhimu yanayoisibu nchi yetu.

Njama za kuizima CHADEMA kwa kuipunguzia muda wa kuzungumza Bungeni zimeshindikana; mikakati ya kuvuruga hoja za CHADEMA kwa kuingilia hotuba za Kambi Rasmi ya Upinzani na kutaka sehemu za hotuba hizo zifutwe zimegonga mwamba; vitisho vya Spika Makinda na Naibu Spika Ndugai kuwasimamisha wabunge wetu hazijafua dafu. Sasa tuna taarifa kwamba Kinana anataka kuwahonga majaji ya Mahakama ya Rufaa ya Tanzania mamilioni ya fedha ili wamfutie Kamanda wetu Lissu ubunge. Naye atashindwa pia.”

Akizungumzia hati ya kiapo ya Shabani Itambu Selema ambaye alihama CCM na kujiunga na CHADEMA baada ya kesi yao kutupiliwa mbali na Mahakama Kuu mwaka jana, Dr. Slaa amesema:

“Tutaishangaa sana Mahakama ya Rufaa kama itaisikiliza rufaa hiyo hata baada ya aliyekuwa mhusika wa kesi ya msingi kusema kwa kiapo kwamba yeye na mwenzake hawajakata rufaa bali ni mambo ya Kinana na CCM yake!”

Dr. Slaa alisema itakuwa ajabu kwa Mahakama ya Rufaa kusikiliza rufaa iliyofunguliwa zaidi ya mwaka mmoja tangu Mahakama Kuu ilipotupilia mbali kesi ya msingi. “Kwa mujibu wa kifungu cha 115 cha Sheria ya Uchaguzi, Sura ya 343, Mahakama ya Rufaa inatakiwa kusikiliza rufaa dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu ndani ya kipindi cha mwaka mmoja tangu rufaa ilipofunguliwa. Huyu Kinana na CCM yake wamesubiri mwaka umepita tangu Mahakama Kuu ilipokataa kufuta matokeo ya Lissu ndio wafungue rufaa. Kama huku sio kukanyaga spirit ya Sheria hiyo ni kitu gani?”, amehoji Dr. Slaa.

Aliongeza kuwa katika kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Mh. Godbless Lema aliyekuwa anashtakiwa na wanaCCM pia, Mahakama ya Rufaa ilipiga marufuku wapiga kura ambao hawakunyimwa haki zao za kupiga kura kufungua malalamiko ya kupinga matokeo ya uchaguzi mahakamani.

“Hata wino wa Mahakama ya Rufaa katika hukumu ya Lema haujakauka Kinana na CCM yake wanataka Mahakama ya Rufaa iyale matapishi yake kwa kusikiliza rufaa ya wapiga kura wanaodai kwa kiapo kwamba walielekezwa na wakubwa wao katika CCM kufungua kesi iliyokataliwa na Mahakama Kuu na sasa rufaa imefunguliwa kwa maelekezo ya Kinana bila hata wao kujulishwa au kushirikishwa kwa namna yoyote ile," amesema Dkt. Slaa.

Dr. Slaa alisema kwamba rufaa ya sasa inathibitisha kauli inayodaiwa kutolewa na Rais Jakaya Kikwete juu ya Tundu Lissu wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu uliopita ambapo Kikwete alidaiwa kuwaambia wanaCCM mjini Singida kwamba ni afadhali Dr. Slaa achaguliwe kuwa Rais kuliko Tundu Lissu kuwa Mbunge.

“Kwa kazi zake ndani na nje ya Bunge Lissu amethibitisha umahiri na uzalendo wake kwa Tanzania na kwa chama chetu. Ametetea wabunge na viongozi wetu dhidi ya njama za CCM kuwachafua kwa kuwafungulia mashtaka ya uongo mahakamani; ametetea Watanzania kila mahali nchini, na ameelimisha wananchi kwa hoja zake Bungeni. Ni mmoja wa Wabunge hodari, jasiri na wachapa kazi katika Bunge hili. Huyu ndiye Mbunge ambaye Kinana na CCM wanataka aondolewe Bungeni kwa mbinu za kishetani za aina hii. Hatutakubali na tunawataka Watanzania wasikubali!”

Rufaa dhidi ya Lissu bado haijapatiwa namba ya usajili licha ya kwamba imeshalipiwa ada ya kuifungulia na tayari imeshapokelewa na Masjala Ndogo ya Mahakama ya Rufaa ya Tanzania, Dodoma. Aidha, rufaa hiyo haijapangiwa majaji wa kuisikiliza wala tarehe ya kusikilizwa kwake haijapangwa.


---------------------------------------------------
 
Kama vipimo vya upeo ni mlingotini Bagamoyo ni kweli hatakidhi, kama shule huna jinsi maana si wewe JK na CCM nzima hakuna mwenye uwezo wa kupima uwezo wa DR. Slaa.

Kinana ni msomali aliyefuzu ujangili period kakutana na dhaifu wanahangaika kuongoza akili kubwa.

Hakika mawazo yako yanaonesha hauko huru.ikiwa Dr Slaa ambaye kwa asili siasa kaanziia hukohuko ccm,leo awe mtu wa kipekeee aliye sawa na malaika.Slaa ni binadamu kama ulivyo ama tulivyo period.
 
mimi nilicho kiona dr slaa nimuoga kama yeye anauwakika tundu lissu alishinda kialali sasa anaita waandishi wahabari kwa ajiri ya nini?hii inaonesha kwamba babu dr slaa ni muoga na anajua mahakama ya rufaa ita mnyanganya ubunge tundu lisu.kinana kama unampango huo please alakisha kwenda mahakamani ili uyu jamaa aondolewe mapema na tupumuziki na kelele za bungeni
 
Kama kweli dr alitoa masharti ya kulipwa kama mbunge ndiyo agombee, basi anaweza kutaka pesa nyingi kutoka magambani iliasigombee

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
mimi nilicho kiona dr slaa nimuoga kama yeye anauwakika tundu lissu alishinda kialali sasa anaita waandishi wahabari kwa ajiri ya nini?hii inaonesha kwamba babu dr slaa ni muoga na anajua mahakama ya rufaa ita mnyanganya ubunge tundu lisu.kinana kama unampango huo please alakisha kwenda mahakamani ili uyu jamaa aondolewe mapema na tupumuziki na kelele za bungeni

Ala! kumbe mnamwogopa Tundu Lissu!
 
Kuishia standard 7 ni makosa ya magamba maana hawataki upate elimu bora ya kukusaidia, lakin kushindwa fikiri kabisa ni matatizo yako binafsi. Jitahid kufikirisha akiri yako kabla hajafikiria, acha. Humjui dr wala kinana, so kaa kimya
 
Mkuu, na mimi binafsi nina mashaka na viongozi wa kisiasa wa nchi hii, sidhani kama wana nia nzuri na nchi hii au wanajari matumbo yao tu. Mfano katika ile clip ya Mh Lipumba akiwa Msikiti wa Idrisa anasema kuwa "Ukiona dola yenyewe inashindwa na wanalalamika vipi kuhusu wewe raia wa kawaida?" Hapa alitolea mfano CCM yenyewe inafungua kesi ya uchaguzi dhidi ya vyama vya upinzani halafu chama cha upinzani kinashinda hii inamaana Serikali haijajipanga vizuri. Hii inamaana kwa mujibu wa Lipumba, Serikali haiwezi kushindwa katika kesi yoyote itakayofunguliwa kwa maana wenyewe ndio wanakamata Dola.Kwa upande wa CHADEMA wameshinda Rufaa ikiwemo ile ya Mh Lema na wakaipongeza mahakama kama ulivyosema hapo juu. Sasa iwaje tena waogope tena kuona mahakama kama ile ile iliyompa ushindi Mh Lema katika rufaa yake dhidi ya Mh Lisu? Hapa ni kweli kabisa ni kuingilia uhuru wa Mahakama na kuona kama wao ikitokea kama watashindwa basi watakua wameonewa.Kwasasa naona ni afadhari wafuate ushauri wa Lipumba kwa maana hamna hata mwenye shukrani katika hukumu za mahakama na wamesahau kua "HAKI INAPOTOLEWA HUWA KUNA UPANDE MMOJA UTAKUWA UMETENDEWA HAKI ZAIDI YA YULE MWENYE HAKI NDOGO"
 
Tupo uwanjan Dr. Slaa anatema madini adim. Kiwanja kimejaa mbaya
 
Hakika mawazo yako yanaonesha hauko huru.ikiwa Dr Slaa ambaye kwa asili siasa kaanziia hukohuko ccm,leo awe mtu wa kipekeee aliye sawa na malaika.Slaa ni binadamu kama ulivyo ama tulivyo period.
Nina uhakika mawazo yangu yako huru. Nimelinganisha upeo kwa vigezo ambavyo mtoa mada hakuvitaja mimi vyangu nimevtaja. Na kwa vigezo hivyo naomba ujipime na ujilinganishe.

Mimi sitaki kujilinganisha na wewe ili ubakie na mawazo yako unayodhani ni huru.
 
NINA MASHAKA NA UPEO WA Dr SLAA,,!!

Leo vyombo vya habari vimeripoti kuwa Dr Slaa anamlaumu Katibu Mkuu wa CCM kutaka kuhujumu mwenendo wa Kesi ya rufaa ya Tundu Lisu kwakuweka wanasheria makini kuhakikisha Lisu anashindwa kesi hii,,!!

Kwanza anachokifanya dr slaa nikuingilia uhuru wa mahakama kwakujadili kesi iliyoko mahakamani,,huu ni uhuni na uvunjifu wa sheria amabo sikutegemea kiongozi wa juu wa chama kufanya.!

Pili mtu yeyote mwenye kesi mahakamani ana haki yakuomba msaada wakisheria kama anahitaji bila kujali msaada huo anupata kwa nani?awe ni Kinana au Mwanakijiji kutoka Singida,,hivyo walalamikaji kama wameomba msaada wakupatiwa mawakili sheria haikatazi,,!

Tatu,tumeshuhudia kesi nyingi za rufaa ambazo chadema wameshinda,,Arusha,Ubungo kwa uchache wake lakini viongozi wa chadema walikuwa wa kwanza kuisifu mahakama iweje leo wakose uvumilivu nakuiacha mahakama ifanye kazi yake?mbona CCM haikulalamika kwenye kesi chadema walizoshinda?

Nne,,Kinana ni kiongozi makini,hajawahi wala haitatokea akafanya upuuzi wa namna hii,,kama dr slaa anaushahidi na anacho zungumza ni vema akakiweka hadharani badala yakuwahadaa watanzania anapoona hali ya kesi inambana Lisu,,!!

Mwisho,,Ushauri wangu kwa huyu babu,Kinana siyo saizi yako utapasuka mapafu ukitaka kushindana nae,,badala yakutunga uongo na majungu ungetumia muda huu kujenga chama chenu na kujifunza kutoka kwa CCM,,!!

Ww ujaisoma ripoti ila umesimuliwa alafu ukakurupuka.....
 
NINA MASHAKA NA UPEO WA Dr SLAA,,!!

Leo vyombo vya habari vimeripoti kuwa Dr Slaa anamlaumu Katibu Mkuu wa CCM kutaka kuhujumu mwenendo wa Kesi ya rufaa ya Tundu Lisu kwakuweka wanasheria makini kuhakikisha Lisu anashindwa kesi hii,,!!

Kwanza anachokifanya dr slaa nikuingilia uhuru wa mahakama kwakujadili kesi iliyoko mahakamani,,huu ni uhuni na uvunjifu wa sheria amabo sikutegemea kiongozi wa juu wa chama kufanya.!

Pili mtu yeyote mwenye kesi mahakamani ana haki yakuomba msaada wakisheria kama anahitaji bila kujali msaada huo anupata kwa nani?awe ni Kinana au Mwanakijiji kutoka Singida,,hivyo walalamikaji kama wameomba msaada wakupatiwa mawakili sheria haikatazi,,!

Tatu,tumeshuhudia kesi nyingi za rufaa ambazo chadema wameshinda,,Arusha,Ubungo kwa uchache wake lakini viongozi wa chadema walikuwa wa kwanza kuisifu mahakama iweje leo wakose uvumilivu nakuiacha mahakama ifanye kazi yake?mbona CCM haikulalamika kwenye kesi chadema walizoshinda?

Nne,,Kinana ni kiongozi makini,hajawahi wala haitatokea akafanya upuuzi wa namna hii,,kama dr slaa anaushahidi na anacho zungumza ni vema akakiweka hadharani badala yakuwahadaa watanzania anapoona hali ya kesi inambana Lisu,,!!

Mwisho,,Ushauri wangu kwa huyu babu,Kinana siyo saizi yako utapasuka mapafu ukitaka kushindana nae,,badala yakutunga uongo na majungu ungetumia muda huu kujenga chama chenu na kujifunza kutoka kwa CCM,,!!
INAWEZEKANA KUSOMA HUJUI NDO MANA ULICHOANDIKA NI OFFAL, ANGALIA HII ILI UJUE KILICHOJIRI
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=0svHP-kI7II
 
NINA MASHAKA NA UPEO WA Dr SLAA,,!!

Leo vyombo vya habari vimeripoti kuwa Dr Slaa anamlaumu Katibu Mkuu wa CCM kutaka kuhujumu mwenendo wa Kesi ya rufaa ya Tundu Lisu kwakuweka wanasheria makini kuhakikisha Lisu anashindwa kesi hii,,!!

Kwanza anachokifanya dr slaa nikuingilia uhuru wa mahakama kwakujadili kesi iliyoko mahakamani,,huu ni uhuni na uvunjifu wa sheria amabo sikutegemea kiongozi wa juu wa chama kufanya.!

Pili mtu yeyote mwenye kesi mahakamani ana haki yakuomba msaada wakisheria kama anahitaji bila kujali msaada huo anupata kwa nani?awe ni Kinana au Mwanakijiji kutoka Singida,,hivyo walalamikaji kama wameomba msaada wakupatiwa mawakili sheria haikatazi,,!

Tatu,tumeshuhudia kesi nyingi za rufaa ambazo chadema wameshinda,,Arusha,Ubungo kwa uchache wake lakini viongozi wa chadema walikuwa wa kwanza kuisifu mahakama iweje leo wakose uvumilivu nakuiacha mahakama ifanye kazi yake?mbona CCM haikulalamika kwenye kesi chadema walizoshinda?

Nne,,Kinana ni kiongozi makini,hajawahi wala haitatokea akafanya upuuzi wa namna hii,,kama dr slaa anaushahidi na anacho zungumza ni vema akakiweka hadharani badala yakuwahadaa watanzania anapoona hali ya kesi inambana Lisu,,!!

Mwisho,,Ushauri wangu kwa huyu babu,Kinana siyo saizi yako utapasuka mapafu ukitaka kushindana nae,,badala yakutunga uongo na majungu ungetumia muda huu kujenga chama chenu na kujifunza kutoka kwa CCM,,!!

wewe ndo mpuuzi na li ccm
 
Kijana nakushauri, kabla hujaanza kuhoji upeo wa watu wengine, anza kwanza kuhoji upeo wako. Kwa ulichokiandika hapa umepoteza sifa ya kuhoji upeo wa Dr. Slaa. Kwanza inaonekana hii ishu umehadithiwa au kama hujahadithiwa basi tukubaliane tu kuwa upeo wako hautoshi kuchambua hii issue hivyo ni vyema ukabaki kuwa msomaji wa hoja za wenzako ili ugain some understanding about the issue in question.

Kama ungekuja kwa busara kuuliza nini kimetokea tungeweza kukuelekeza, ila kwa kuwa umekuja macho juu acha tu tukulipue. Kwanza fahamu tu kuwa upeo wako wewe ni wa kushikisha na gundi. Sisi wenzako wakuelewa tumeshaelewa kuwa Kinana zaidi ya kuwa jangiri, pia ni mbakaji wa haki!

Kusema kuwa anaingilia mwenendo wa kesi au uhuru wa mahakama, wewe unaona kuna kesi gani hasa inayoingiliwa kwa Dr Slaa kusema aliyoyasema?? Hebu tutajie ni kesi gan! Usiwe unakurupuka tu. Hadi sasa hivi hakuna kesi bado hivyo kama ulihadithiwa aliyekupa story hizo amekumislead.

Kuhusu haki ya kukata rufaa ni kweli mhukumiwa anayohaki ya kukata rufaa kupinga hukumu iliyotolewa dhidi yake, lakin unafahamu kuwa katika issue hii wahukumiwa sio waliokata rufaa??? Unafahamu kuwa mmoja wa wahukumiwa sasa hiv ni mwanachama wa chadema na hayupo tena CCM??? Wewe hujui unachoongea, kaa kimya kijana na dont be reckless in your choice of words.

Ushahidi wa anachokiongelea Dr. Slaa upo humuhumu mtandandaoni acha uvivu take your time to read and usikurupuke tu. Mwisho kabisa ushauri wako naukataa sababu huna sifa ya kutushauri kwenye suala hili kwa maana wewe mwenyewe hujui hata unaongea nini, sisi ndo tukushauri wewe kuwa rudi kasome na ukielewe anachokiongelea Dr. Slaa.

Patriote, umeiweka vizuri sana; tatizo ni kama huyu kijana aliyeleta mada ataweza kuielewa kutokana na upeo wake ambao umeshautilia shaka.
 
Back
Top Bottom