Recent content by truckdriver

  1. T

    Hivi ni kweli hakuna ndege inayoingia na kutoka hapo Dar es salaam ??

    Ndio kuna mtu alikuwa aondoke na KLM na mwingine Emirates leo wameshindwa
  2. T

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Amazon.com naipata Dar gharama ni ngapi? https://www.amazon.com/Lithitech-Cordless-Electric-Keyless-Variable/dp/B0DG96L59F
  3. T

    Je Umeshaanzisha Biashara yako?

    Duka la kawaida la mangi ambalo halihitaji Brela...huduma unatoa?
  4. T

    Maharage ya njano yanauzw

    NAomba mawasiliano, upo Bunju sehemu gani
  5. T

    Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

    1. Materials testing laboratory kwa ajili ya ku test materials kwenye miradi ya barabara, nyumba, mabwawa etc (Materials Engineers wengine inabidi wapeleke samples South Africa kupima) 2. Olympic size swimming pool (Olympic Aquatic centre) ..Training centre kwa ajili ya ku train wana michezo...
  6. T

    Mafundi wazuri wa Nissan Duals

    mr. IST wako vizuri wao wanadili na Dualis na Xtrail tuu kila kitu wanacho...diagnosis ni bure
  7. T

    Car4Sale Tunauza magari ya aina mbalimbali

    Ninayo 13.5 mil ...
  8. T

    Kuna madhara gani kutumia Energy Drink?

    Si usome kwenye hiyo chupa ya mo kila kitu kimeandikwa hapo
  9. T

    Kuna madhara gani kutumia Energy Drink?

    Mo energy sio energy drink .... ile ni juice tuu(carbonated drink)
  10. T

    Natafuta gari la Uba/Bolt

    Bosi una gari nini tupate kazi
  11. T

    Wamiliki wa magari ya Uber/Bolt, tupeane mbinu za uendeshaji wa hii biashara

    Mimi natafuta mtu/kampuni inayotoa Uber/Bolt kwa mkataba.....labda ndani ya uzi huu ninaweza pata mwanga.
  12. T

    Kupaka rangi nyumba kunahitaji kibali. Nani wanatunga Sheria hizi?

    Wapi huko? Well mapato yanatafutwa kwa nguvu maana kibali si kina fee!
  13. T

    Maji ya chupa ya Kilimanjaro yameanza kupotea sokoni Dar

    Mbona Hill water nayo ni ya mchaga ...au wachaga wanabaguana wenyewe????
Back
Top Bottom