Sheria zilizotungwa zinatuumiza.
Nilikuwa napiga rangi nyumba yangu nikakamatwa sina kibali cha ujenzi.
Hivi hata kupiga rangi tu kibali? Na kuna sheria ya ku-park gari pembeni ya barabara umewasha hazard unakamatwa hata kama imeharibika.
Watunga sheria hizi ni kina nani?
Nilikuwa napiga rangi nyumba yangu nikakamatwa sina kibali cha ujenzi.
Hivi hata kupiga rangi tu kibali? Na kuna sheria ya ku-park gari pembeni ya barabara umewasha hazard unakamatwa hata kama imeharibika.
Watunga sheria hizi ni kina nani?