Nisawa kutanua huu uwanja wa JNIA lkn fikiria vita iliyopo ni KENYA vs TZ kuhusu utalii ndugu.Vivutio vingi vya utalii viko kaskazini mwa TZ na ili mtalii afike kirahisi akitoka ULAYA ni bora ashuke JOMO KENYATTA ambapo ni karibu sana na Arusha kuliko ashuke JNIA(DAR) ambapo ni almost 600kms to...
Hee ni huyu alikuwa anatishia Arusha tangu nipo Arusha Sec?,mbona nilisikia kapigwa risasi miaka mingi tu!,dah huyu ni balaa anapita mahali ambapo hata dole gumba kupita ni shida.
Ndo maana akaitwa 'Mjusi'
Nakuunga mkono ndugu fikiria kwa kashfa kama ile ya ndege kulazimika kutua kwa dharura pale magereza Arusha(Kilimo Anga) na kumbe ni lizembe limoja limevimbiwa likasahau kazi,na hakuna aliewajibishwa,kuna haja gani ya kumsifia hata huyo Mwakyembe!!?
Fikiria rubani angeshindwa kutua...
Maelezo yote ya muhimu ndo umeyaelewa isipokuwa hilo la mama Salma kuwa ndugu na Habyarimana au ndo nawe umeshaamini propaganda za Himaya ya Hima?
Tuwe wazalendo,wameungaunga tu hao wasitutishe,lkn tusiwadharau,au basi na akina Karume wawatetee watutsi basi
Acha dharau nawewe,nami pia yalinikuta hayo hayo pale korogwe,naenda kimara nikakutana na magari yanyotoka kimara tukazibiana njia,hakuna mahali pa kupita kwa masatuko pale.Fikiria hata askari hakuna na alama pia hakuna.Hao mgambo wa kampuni wanaziba viupenyo vyovyote ili tuwape pesa ndo...
Mungu wangu,ina maana Lowasa ndo aliuasisi kabla ya kutimliwa!!,hii ni ile mvuu ya mabomu aliyotukosa nayo ametukamatia kwenye barabara.Huyu mamvi bure kabisa
Sio kwa Lisu tu,kuna kanda ya Nyanda za juu,kanda ya Kaskazini(ambayo huipendi) na Kanda ya Kati (ya Lisu kama unavyotaka) zote hazina m/wenyeviti.Ilikupasa uulize na sio kuonyesha chuki kwa Lisu.magamba ww.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.