Mtandao wa umeme nchini hadi machi 2014

Mtandao wa umeme nchini hadi machi 2014

security guard

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
799
Reaction score
603
Takwimu zinaonyesha kwamba kwa sasa asilimia 36% (kutoka asilimia 10% ya mwaka 2005) Tanzania Bara wana pata umeme asilimia 36% wanatumia umeme na asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme kutoka asilimia 2% mwaka 2005.Tayari imevuka malengo ya CCM na ya Serikali ya asilimia 24% wameunganishwa.Tuendelee kuchapa kazi kwa kasi na ubunifu mkubwa.

Waziri wa Nishati na Madini

Sospeter Muhongo

 
Duh! Kumbe CCM imetuweka nyuma kiasi hiki. Nilitarajia angalau tuambiwe 85% ya watanzania wana umeme kumbe ni 36%tu.
 
Hongera US wahisani wengine ktk REA....CCM wanaikimbiza TANESCO KUMWAGA NGUZO HOVYO ILI ZIPITE NA WIRE MITAANI..kwa ajili ya kura mwakani
 
Wanatumia umeme kucharge simu...
 
Takwimu zinaonyesha kwamba kwa sasa asilimia 36% (kutoka asilimia 10% ya mwaka 2005) Tanzania Bara wana pata umeme asilimia 36% wanatumia umeme na asilimia 21% ya wanavijiji wa Bara wanatumia umeme kutoka asilimia 2% mwaka 2005.Tayari imevuka malengo ya CCM na ya Serikali ya asilimia 24% wameunganishwa.Tuendelee kuchapa kazi kwa kasi na ubunifu mkubwa.

Waziri wa Nishati na Madini

Sospeter Muhongo


Kikwete Juu zaidi.

Fikiri, 10% hiyo ni kuanzia Mkoloni, Nyerere miaka 24, Mwinyi 10, Mkapa 10 Kikwete pekee kafanya asilimia 26 kwa miaka 8 tu. Waliomtangulia, jumla ya miaka 44 hata nusu yake wameshindwa kufanya halafu mijitu humu "nyerere, nyerere, nyerere" hata haya haioni wala vibaya haijui.

Jamani hii katiba ibadilishwe haraka Kikwete aendelee japo kwa miaka 10 mingine. Anachapa kazi si mchezo, kila kitu kafanya zaidi ya wote waliomtangulia kwa maendeleo ya nchi.
 
Kikwete Juu zaidi.

Fikiri, 10% hiyo ni kuanzia Mkoloni, Nyerere miaka 24, Mwinyi 10, Mkapa 10 Kikwete pekee kafanya asilimia 26 kwa miaka 8 tu. Waliomtangulia, jumla ya miaka 44 hata nusu yake wameshindwa kufanya halafu mijitu humu "nyerere, nyerere, nyerere" hata haya haioni wala vibaya haijui.

Jamani hii katiba ibadilishwe haraka Kikwete aendelee japo kwa miaka 10 mingine. Anachapa kazi si mchezo, kila kitu kafanya zaidi ya wote waliomtangulia kwa maendeleo ya nchi.

Wewe faiza unalako jambo sio bure. Sijui kama unatambua jinsia yako sawa sawa. Ebu vua nguo zote ujiangalie kwanza alafu ukipata jibu basi jaribu kucomment kuendana na jinsia yako. Samahani sana
 
Wewe faiza unalako jambo sio bure. Sijui kama unatambua jinsia yako sawa sawa. Ebu vua nguo zote ujiangalie kwanza alafu ukipata jibu basi jaribu kucomment kuendana na jinsia yako. Samahani sana

Hoja mjarab, imekushinda kuijibu? mimi ni mimi na achana na mimi, jibu hoja. Hivi wewe ni jinsi ipi?
 
Kikwete Juu zaidi.

Fikiri, 10% hiyo ni kuanzia Mkoloni, Nyerere miaka 24, Mwinyi 10, Mkapa 10 Kikwete pekee kafanya asilimia 26 kwa miaka 8 tu. Waliomtangulia, jumla ya miaka 44 hata nusu yake wameshindwa kufanya halafu mijitu humu "nyerere, nyerere, nyerere" hata haya haioni wala vibaya haijui.

Jamani hii katiba ibadilishwe haraka Kikwete aendelee japo kwa miaka 10 mingine. Anachapa kazi si mchezo, kila kitu kafanya zaidi ya wote waliomtangulia kwa maendeleo ya nchi.


JK ni mwamba wa miamba asie na makuu...

Katika kipindi chake tatizo la uhaba wa walimu limepungua...

Shule za sekondari zimeongezeka maradufu mpaka kata...

Mishahara mizuri kwa watumishi ukilinganisha na 2005...

Japo Mimi ni mkristo sioni haya kusema muungwana huyu kwa kweli anastahili pongezi na heshima kuliko ya nyerere..
 
Kikwete Juu zaidi.

Fikiri, 10% hiyo ni kuanzia Mkoloni, Nyerere miaka 24, Mwinyi 10, Mkapa 10 Kikwete pekee kafanya asilimia 26 kwa miaka 8 tu. Waliomtangulia, jumla ya miaka 44 hata nusu yake wameshindwa kufanya halafu mijitu humu "nyerere, nyerere, nyerere" hata haya haioni wala vibaya haijui.

Jamani hii katiba ibadilishwe haraka Kikwete aendelee japo kwa miaka 10 mingine. Anachapa kazi si mchezo, kila kitu kafanya zaidi ya wote waliomtangulia kwa maendeleo ya nchi.

nyerere failure

alikuwa kama chanuo,kazi zake ni mbili tuh

kuchana nywelee na kusuka nyweleee
 
Hongera US wahisani wengine ktk REA....CCM wanaikimbiza TANESCO KUMWAGA NGUZO HOVYO ILI ZIPITE NA WIRE MITAANI..kwa ajili ya kura mwakani
leo sijakuona kabisa kwenye mijadala ya kule kalenga. au uko sehemu unapata mbege? kwa taarifa yako mmeshinda kule kalenga kwa kishindo >80%! Hongereni!
 
This is a joke!! Baada ya miaka zaidi ya 50 ya uhuru unachekelea na kuja hapa mbio eti watanzania 36% ndo wanatumia umeme? tena wa mgao? Ningeelewa kama huyo Prof wa ''gesi na matusi kwa waTZ'' (maana toka apewe wizara yeye ni gesi tuu na kutusi waTZ kwamba ni wavivu wa kufikiri na hawana mitaji ya kuwekeza) angetueleza ana mikakati gani ya kupambana na mikataba feki na ya kifisadi ya makampuni ya kuzalisha umeme hewa (IPTL na mengine) yanayoikamua TANESCO (ambayo inahamishia mzigo kwa mlala hoi) mabilioni kila kukucha; atueleze yale mabilioni yaliyochotwa kinyemela majuzi kutoka kwenye akaunti ya mfuko maalumu iliyoko benki kuu (Escrow account) zimekwenda wapi?; atueleze ile kauli mbiu yake kwamba mgao wa umeme utabaki historia alikuwa anamdanganya nani?
 
sasa wewe ndo umeandika nini? ama kweli huwezi kuwatofautisha bavicha a.k.a misukule inayoremotiwa kutoka tengeru na matusi. they are synonymous.
Wewe faiza unalako jambo sio bure. Sijui kama unatambua jinsia yako sawa sawa. Ebu vua nguo zote ujiangalie kwanza alafu ukipata jibu basi jaribu kucomment kuendana na jinsia yako. Samahani sana
 
Nilijua tu hii thread itadoda maana kwetu waBongo tunahubiri maendeleo lakini Yakija hatutaki .... Shame on us!
 
Utafiti ulioonyesha kwamba asilimia 36 ya Watanzania Bara wanapata na kutumia umeme ulifanywa na nani? Can this be verified? Maana takwimu zikitolewa na mtu ambaye ameshasema uongo huko nyuma, na asitoe reference, lazima zitiliwe shaka.
 
Hoja mjarab, imekushinda kuijibu? mimi ni mimi na achana na mimi, jibu hoja. Hivi wewe ni jinsi ipi?

Mrembo faiza tafadhari punguza chuki zako kwa Nyerere aliyoyafanya yanatosha sana kwa kipindi hicho na ukiangalia kesha kua marehemu mwache apumzike huko aliko ni hayo tu mrembo. Kidumu Chama cha mapindunzi
 
Suala linauzi sana,naishi bombambili kata ya kivule uku gongolamboto watu wanamajumba ya mamilioni wana opt solar za hadi milioni 2 kisa hakuna access ya umeme,in short hela tunazo ila bidhaa ya umeme hamna,cjui ni maeneo mangapi kwenye miji mikubwa kama dsm wako hivi,selikari ifanye zaidi kwenye ili,36% in 50 years tutaitaji miongo mingapi ku cover 100% na kuuza ziada nje?
 
Back
Top Bottom