Jimbo la Mh Mathayo wapare wagawiwa mahindi.

Jimbo la Mh Mathayo wapare wagawiwa mahindi.

mahoza

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
1,248
Reaction score
579
Nnasikitika kuona hii rushwa inavyotupeleka pabaya.
Mimeongea na jamaa zangu malori ya mahindi yaliyopelekwa huko ni balaa. Vijiji vya makanya, Hedaru, Vudee, Mwembe mpaka huko milimani ni mahindi. Wanagawiwa Jumanne wiki ijayo Leo ilikuwa ni vikao.
Source jamaa yangu aliyehudhuria mkutano jioni hii. CCM bila rushwa haipiti
 
Wapare zindukeni kama wachaga,wanyakyusa,wasukuma na wabena
 
Ngoja wapewe misaada kwani Wapare wengi wa Hedaru wapo maeneo ya kata ya Ruvu Muungano wanalima kule ila hawaivishi kwa kuwa ng'ombe wa wamasai wanaharibu sana mazao ya wakulima halafu viongozi kuanzia kijiji hadi wilaya wamekaa kimya kwa kuwa wamasai wanawapa rushwa.
Eneo la Ruvu-Muungano kuanzia Marwa hadi Jitengeni lilifaa kuwa na kilimo cha umwagiliaji lakini Serikali imeruhusu wafugaji kukaa maeneo hayo hivyo kuharibu kabisa mipangilio ya kilimo, Wannchi wanamlaumu Mathayo Mbunge wa Same kuwa hawasaidii kwani yeye hatembelei wakulima bali kutembelea wafugaji ili akale nyama na kupewa pesa.


Nnasikitika kuona hii rushwa inavyotupeleka pabaya.
Mimeongea na jamaa zangu malori ya mahindi yaliyopelekwa huko ni balaa. Vijiji vya makanya, Hedaru, Vudee, Mwembe mpaka huko milimani ni mahindi. Wanagawiwa Jumanne wiki ijayo Leo ilikuwa ni vikao.
Source jamaa yangu aliyehudhuria mkutano jioni hii. CCM bila rushwa haipiti
 
tanzania imeingia mdudu gani au mungu kafanya makosa kumchukua nyerere
 
Back
Top Bottom