Recent content by Trubarg

  1. Trubarg

    DOKEZO Vibanda Holela Ubungo/Kijazi interchange

    Nchi hii unahitaji viongozi wenye akili za ziada. Haiwezekani vibanda kila mahali alafu viongozi wanasinzia usingizi WA pono.
  2. Trubarg

    DOKEZO Vibanda Holela Ubungo/Kijazi interchange

    Ni ajabu kuona zile juhudi zilizofanyika kusafisha jiji miaka ya nyuma zinapuuziwa kutokana na watendaji kutokufanya majukumu yako ipasavyo. Nachojiuliza hivi vibanda vinavyochipukia kama uyoga chini na pembezoni mwa daraja na Songas hamvioni. Au mnasubiria mpaka maduka yawe makubwa ndo mje...
  3. Trubarg

    Design ya vituo vya mwendokasi vya Mbagala na Tegeta havivutii na vimechoka kuliko vituo vya zamani

    Habari wadau. Sijajua ni macho yangu au nini. Hii design ya hivi vituo sijui imezingatia kitu gani maana havivutii ata kidogo. Inamaana wahandisi wameshindwa ata kuiga ramani ya vituo vya zamani walivyojenga wenzako? Pia cha kushangaza vituo hivi vimechoka kuliko vituo vilivyojengwa phase ya...
  4. Trubarg

    Wanaume mnajiamini sana aisee

    Una umri gani?
  5. Trubarg

    Hivi kwanini mabinti wanaweka filter za kuongeza midomo ionekane mikubwa?

    Anakupa ujumbe kwamba anajua Kula mike
  6. Trubarg

    Kufanya biashara na wajasiriamali ni kazi ngumu sana

    Hizi ndo hints; 1. Wengi wao wanahali mbaya 2. Wengi wao hawana ela 3. Wengi wao huwa wanahisi wanataka kuibiwa muda wote ingawa hawana cha kuibiwa 4. Wengi wao ni walalamishi. 5. Wengi wao mpaka anunue kwako ujue wamekosa mwingine, yaani wamehangaika Sana. MTU yupo radhi aagize kitu china ili...
  7. Trubarg

    Inasikitisha kamanda mkuu wa magaidi ya fatah kuachiwa huru kisa makubaliano kusitisha vita, aliwahi toroka jela yenye ulinzi mkali Israel 2021

    Anayeongoza Syria sasa hivi alijulikana zamani kama head chopper. As long as hutofautiani na America basi wewe siyo gaidi
  8. Trubarg

    Je, hakuna Sheria inayoratibu matumizi ya fedha kwenye uchaguzi?

    Nchi za wenzetu wanasheria zinazoratibu matumizi ya fedha kwenye uchaguzi ili kuweka fairness. Najaribu kujiuliza hili Kwa Tanzania lipo, au kila MTU anatuma kadiri awezavyo. Hivi karibuni CCM ilishusha bus ya Yutong karibu hamsini, wakati huo huo kunachama ata Ofisi hakina. JE hapa fairness...
  9. Trubarg

    Dar: Polisi yawafungia leseni madereva 30 kati ya 179 waliokamatwa katika kipindi cha sikukuu

    Alafu kuna watu wanasema hawapendi siasa, siasa ndo inaendesha kila kitu kwenye maisha haya. Haya watuambie na Arusha wangapi walipimwa kilevi kwenye like tamasha la Makonda, maana pale asimilima kubwa walikuwa na vyombo vya usafiri na bia na vilevi vingine viliuzwa malori Kwa malori.
  10. Trubarg

    Madereva wa SGR wana leseni ya aina moja?

    Nilikuwa natoa reference ya hizo zenye kichwa na behewa, hizo hizo zingine husikii kitu zingine mikito kama yote.
  11. Trubarg

    Wanawake huwa mna maana gani kusema mnaumia?

    Utamu mchungu unaitwa
Back
Top Bottom