Kwa kifupi ni kwamba, atakuwa na mwanaume mweusi ila watoto atazaa na mwengine ambaye ni mwanaume mweupe.
Ukipenda boga, penda na maua yake. Ridhika na mmoja.
Jitahidi uwe na mfumo mzuri wa kutumia pesa unayoipata, mfano unaweza kufanya hivi;
20% ya pesa yako iweke kwa ajiri ya dharula yaani akiba. Hii hata kama haukupata dharula endelea kuiacha kama akiba, itakusaidia mbeleni huko.
50% ya pesa yako iwe ya matumizi ya lazima, mf; usafiri, chakula...
Kama jengo limewekewa mfumo wa camera basi waweke na control room ili kuwe na mtu wa kuangalia vitendo kama hivyo na kuchukua hatua kwa haraka. Sasa kama hapo mtu anaiba na kamera inaonyesha vizuri ila hapakuwa na mtu wa kuangalia hizo video hadi mwizi anapotea. Badala yake mtu akilalamika...
Punguza ukaribu na huyo unayemuita rafiki yako. Hama kwenye nyumba za kampuni uende mbali na hapo ili uwe na privacy kwenye mambo yako. Si vema kila kitu unachofanya umshirikishe rafiki yako, vingine vibaki kuwa suprise, aone matokeo tu hata kama akilaumu kuwa haukumwambia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.